Manabii wanaouza maji na mafuta ya upako nao waingizwe kwenye mfumo walipe kodi

Manabii wanaouza maji na mafuta ya upako nao waingizwe kwenye mfumo walipe kodi

Benjamin10

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2016
Posts
409
Reaction score
598
Habari za muda huu wakuu,

Naomba niende kwenye maada husika. Mimi ombi langu kwa serikali ni kua wale manabii wanaouza maji ya upako wasajiliwe na mamlaka za maji (EWURA) ili na wao walipe kodi vivyo hivyo mafuta nao, maana hiyo imekua ni biashara kubwa watu wanatumia shida zetu kujinufaisha.

Hii itachangia kupunguza manabii wengi wa uwongo.
 
Umecopy speech ya William Ruto ambaye Ni rais wa nchi ya Kikristo tofauti na Tanzania ambayo ni nchi secular.
 
Umecopy speech ya William Ruto ambaye Ni rais wa nchi ya Kikristo tofauti na Tanzania ambayo ni chi secular.
Biashara zote za kanisa zinalipa kodi serikalini. Wanachosamehewa ni taxi exemption kwa zile direct service za kuhudumia watu bila faida ila sio biashara.

Hata,hapa Tz biashara za kanisa kama shule, maduka, hosptalink kodi inalipwa kama kawa. Kenya wameonesha mfano mzuri kama wanauza hayo maji, mafuta, vitambaa nk ni walipe KODI, over.
 
Habari za muda huu wakuu,

Naomba niende kwenye maada husika. Mimi ombi langu kwa serikali ni kua wale manabii wanaouza maji ya upako wasajiliwe na mamlaka za maji (EWURA) ili na wao walipe kodi vivyo hivyo mafuta nao, maana hiyo imekua ni biashara kubwa watu wanatumia shida zetu kujinufaisha.

Hii itachangia kupunguza manabii wengi wa uwongo.
Umeamua kuwa mfuasi wa Rutto sio!

Maana Rais wa kenya ndio alitoa hili agizo hivi majuzi huko nchini kwake
 
Back
Top Bottom