Management ya Ali Kiba ni mbovu! Imekosa vision na innovation

Yani najiuliza huu upepo wa aje uliokuja kwa jinsi promo ambayo timu lipstiki waliifanya kama Kiba angekuwa anajielewa aisee angezunguka huko mikoani.. Angepiga hela nzuri sana!! Lakini mpaka mpaka Aje ineanza kuchuja lakini mwenyewe wala hashtuki kila jioni yuko jangwani anasukuma kandanda..

Uzuri ni kwamba nchi hii watu wanapenda starehe sana yani ukizunguka kila mkoa kupiga show hata akiweka 20000 watu wana jaa maana wanampenda!
 
Hata ange anzia hapa Dar aka andaa show kam ya Jide pale mlimani city! Sio kila leo escape one lazima ajifunze kujibrand na aache kupiga show mbuzi!

Mwenzie Jide anapeleka show sehemu ambapo atavutia watu wa aina zote...! Na wote manager wao ni mmoja!

Hivi kama manager ana sababisha Alikiba asipige show za uhakika kwanini asiachane nae...!
Alikiba ana shida gani?
 
Hakika hiyo ndio akili fursa ikija unaitumia! Hata kama ukiwa na sauti nzuri kama hufanyi show ni bure kabisa!

Hivi Alikiba huwa haoni aibu?

Probably this time atatoka na atafunika baada ya kupata mkataba mnono wa Sony.

He is going big this time around.
 
Probably this time atatoka na atafunika baada ya kupata mkataba mnono wa Sony.

He is going big this time around.
Bora iwe hivyo maana uwezi amini hata hizo showa mbuzi tuu hapigi na unaweza kushangaa anazidiwa hadi na wakina Shilole , Snura kupiga show...

Hivi anafanya mziki ili akae ndani tuu?
 
mmmhh, umeongea jambo zuri na la msingi, nipo karibu na seven so ntamfikishia hii post jioni ya leo.
 
Kumbe anavizia usajili Yanga!? Basi msimshangae sana mwenzenu labda muziki kwake ni burudani tu.
 
Hahahah!! Ali needs to change kama kweli anataka awe kingi..

Nalazimika kukubakiana na Ruttashobolwa kuwa inawezekana Seven anajituma sana lakini ndo hivyo tena Kiba umwinyi umemjaa
Kumbe anavizia usajili Yanga!? Basi msimshangae sana mwenzenu labda muziki kwake ni burudani tu.
 
Hivo vitu ndio vinazidi kumfelisha,yaani huwafanyi mashabiki kuwa na hamu na wewe wakikutaka kukuona wanakukuta sehemu fulani,hata ukifanya shoo hakuna mwenye haja kukuona na hata kama utawapata si kwa kiwango kinachotakiwa.
 
Hivo vitu ndio vinazidi kumfelisha,yaani huwafanyi mashabiki kuwa na hamu na wewe wakikutaka kukuona wanakukuta sehemu fulani,hata ukifanya shoo hakuna mwenye haja kukuona na hata kama utawapata si kwa kiwango kinachotakiwa.
Ni bora ange fanya kazi ya kucheza mpira tuu!
 
Mkuu hebu muulizeMichael. Alikuwa anauza copy ngapi kwa mwaka?MJ japo amekufa lakini bado mauzo ya copy zake yapo juu kuliko wasanii wote wa bongo kwa ujumla wao!!kumbe Kiba anaangushwa na vitu vingi aisee!hadi mashabiki wake.
 
Mkuu hebu muulizeMichael. Alikuwa anauza copy ngapi kwa mwaka?MJ japo amekufa lakini bado mauzo ya copy zake yapo juu kuliko wasanii wote wa bongo kwa ujumla wao!!kumbe Kiba anaangushwa na vitu vingi aisee!hadi mashabiki wake.
Ukimtoa Kiba mashabiki pia ni tatizo nilitegemea kuwa wata unga mkono kuhakikisha Kiba ana badilika!

Mtu anatoa mfano wa Michael Jacksoni!
 
Wewe unadhani Dr Ricky anaweza kuwa kocha au Shaffi Dauda akipewa yeye Uenyekiti wa Simba ataweza? Kuosha mdomo na kutenda ni vitu viwili tofauti

Umeandika kitu nilichotaka kukiandika muda ila nikakosa maneno ya kutumia.

Hata kwenye hili swala tunalopigia kelele Kiba afanye shows, sidhani kama hapendi kufanya, ukute fitna, bajeti, au vikwazo vikwazo vinasababisha yeye kushindwa, na pia matarajio yanakuwa makubwa sana kulinganisha na nguvu aliyoitumia halafu watu wanaoingia wanakuwa siyo kiviile maana wabongo nao tuko vizuri kuongea wakati sapoti kamili hatutoi.
 
Rockstar4000 wamekuwa wakimuandalia show Jide na sasa tarehe 4 yuko Dom! Wote Jide na Kiba ni management moja .....sasa inakuwaje washindwe kumuandalia show?

Kama ni kweli manager ni tatizo kwanini Alikiba asiachane nae?

Alikiba ndio tatizo!
 
Mdanganye uupuuzi afilisike....unahis n kaz rahisi eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…