Kwa kuwa umeshajieleza hapo juu kuwa ni,MAJUNGU,UMBEA NA FIGISU FIGISU, basi yooooooooooooooote unayoongea kama watu wanajitambua watakuwa wanajua malengo yako ni hayo hapo juu.
Hahahaha Alikiba amebaki kusema papriiiiiSidhani kama umeelewa.. Alisema Ali kiba is overrated alafu inamcost. Hakusema yeye anamzidi mafanikio.
Naomba uangalie ujumbe wowote unao eleza kuwa Alikiba ni tatizo anatakiwa kubadilika halafu mtumie Alikiba!
Tumeshamtumia ujumbe kule insta nazan dada atasoma
Mi mwenyewe napenda sana juhudi zake ila kukosekana wa show za alikiba hii kitu inanikera sana na ukichek wana base kubwa sana ya mashabiki wanaosupport mziki wa alikiba. Inakera sana
Hivi lina maana gani hilo neno ????Hahahaha Alikiba amebaki kusema papriiiii
Kiba ndio tatizo zaidi natamani hata hizo Massage za kumsema muwe mnamtumia yeye ili akubali kubadilika maana ninacho kiona hapa Seven anataka kubebeshwa Lawama!Kwani SONY record lebo imemsaini msanii gani wa kizazi kipya..!?
Hapo ndio nikikumbuka maneno ya WCB diamond platinumz naona japo tunamkashifu wa uswazii ila ana akili ya pesa na management yake ipo poa.
*ngoja tuone SONY itamsaidia vipi kibakuli maana iliwasaini wanamziki wa injili ila hawasikiki kama wakati wapo solo
Hili ndilo tatizo lingine la mashabiki wa Kiba kwao ukweli ni wivu!Wivu hu0 utawepeleka wap kwa kup0st p0st ndefu
Mdanganye uupuuzi afilisike....unahis n kaz rahisi eeeh
Sijui huwa lina maanisha nini..na kwenye hilo ndio amefanikiwa....hilo huwa analisema kama ndio show vile ..Hivi lina maana gani hilo neno ????
Hahahaha yani huyu jamaa ana kera sana mashabiki ......amebaki kupiga tour za kwenye mabasi..Hahahah!! Ali needs to change kama kweli anataka awe kingi..
Nalazimika kukubakiana na Ruttashobolwa kuwa inawezekana Seven anajituma sana lakini ndo hivyo tena Kiba umwinyi umemjaa
Tatizo ni moja alilisema Benpol Ali Kiba is overrated.
Media zimempa Kiba uwezo asiokuwa nao.
Pia kuhusu shows Ali Kiba bado hana fan base ya kutosha kusapoti show zake alijaribu akapata hasara.
Mashabiki wa Kiba ndio mashabiki wa Wema Sepetu sasa tazameni maudhulio ya events anazoandaa Wema ndio mtapata majibu.
Tatizo wanamtukuza mno kuliko uhalisia wake.Sijui huwa lina maanisha nini..na kwenye hilo ndio amefanikiwa....hilo huwa analisema kama ndio show vile ..
Nmekuambia badili ID name maana unadhalilisha wahaya.. Kiba kusaini SONY ni sawa na ww ulivyosaini kwa mwajiri wako kuwa utamtumikia hadi pale avunje ama uvunje wewe mkataba. Hivo Kibakuli hajiamulii afanye nini ama aache nini maana anamilikiwa na SONY na atafanya SONY watachosema maana wao ndio wanamlipa mwisho wa siku.Kiba ndio tatizo zaidi natamani hata hizo Massage za kumsema muwe mnamtumia yeye ili akubali kubadilika maana ninacho kiona hapa Seven anataka kubebeshwa Lawama!
Mwambieni wazi kiba kama inawezekana aachane na Seven kabisa ili atafute njia nyingine!
DAWA ?Hili ndilo tatizo lingine la mashabiki wa Kiba kwao ukweli ni wivu!
Mkumbuke ili mtu apone inabidi apewe dawa....na muda mwingine dawa inauma sana hasa inapo gusa mfupa!
Tatizo la Alikiba ni uoga pia ni wazi anaogopa kuwekeza kwenye show kwa hofu ya kupoteza!ZAMANI SAWA, COZ HAKUWA NA HIT YOYOTE ILA FOR NOW NOOOOOO! BWANA WEEEEEEE ULE WIMBO WA AJE NI KIBOKO KABISAAAA. ANGEENDA NCHI YOYOTE ILE EA ANGEELEWEKA. Sema wimbo anao, umekubalika ila yeye bado kwanza anajipumzisha kidogo
Kiboko kabisa kwa kipimo kipi ???ZAMANI SAWA, COZ HAKUWA NA HIT YOYOTE ILA FOR NOW NOOOOOO! BWANA WEEEEEEE ULE WIMBO WA AJE NI KIBOKO KABISAAAA. ANGEENDA NCHI YOYOTE ILE EA ANGEELEWEKA. Sema wimbo anao, umekubalika ila yeye bado kwanza anajipumzisha kidogo
Kaka upogo na huku hahahahahaha noma sana. So Hapa upande gani ili niende tofautiActually, ukisoma vitu anavyoviandika lara 1 with sound mind utamwelewa sana. Sema kwenye hizi issue za D na Kiba watu wamebase sana kwenye ushabiki badala ya uhalisia.
Pesa ili iingie kwanza inataka pesa itoke, na ili itoke inataka mtaji, na kama huna mtaji, unatakiwa uwe na ushawishi wa kuwaambia wenye pesa zao wawekeze kwako, na ili wawekeze kwako wanataka uhakika wa kurudi kwa pesa yao, na kama wanakosa/wanaogopa kuwekeza kwako, basi kuna tatizo la kutokurudi kwa pesa zao, na kama wanaogopa kutokurudi basi labda walishawahi kupata hasara nae.Tatizo la Alikiba ni uoga pia ni wazi anaogopa kuwekeza kwenye show kwa hofu ya kupoteza!
Lakini sio kweli hawezi kupata watu wakujaa kama Mlimani city....niliona pale mlimani city alipo pandishwa na Jide watu walimshangilia sana.....sasa sijui hizo hoja za kusema hatojaza au kupata watu zinatoka wapi?
Mtu anaamua kufanya biashara ya muziki halafu anaogopa si bora aache afanye kitu kingine?
Kwanini DIAMOND asiwe noma kwenye huu mchezo ........... unadhani kuujaza ukumbi wa m/city kwa kiingilio cha chini 50,000/= kazi ndogo huku cha juu ikiwa 1m na watu wamejaa utafikiria wameingia bure. Sasa huyu jamaa watu hata kutumia pesa zao kwake wanaogopa.Hatimae wote kwa pamoja mnakubali kuwa Mondi ni noma na babu K kapotea.