Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sijakusoma hapa, Ruge kiboko yake ni Kusaga au Kusaga ni Boss wa Ruge clouds Media?Dimond ALIJAZA AU RUGE ALIJAZA UKUMBI? Dai bila Ruge ni kama Kibakuli tuuuu! KIUKWELI SO FAR KWENYE HII GAME RUGE NI LEGENDARY KIBOKA YAKE ILIKIWA JOSEPH KUSAGA SEMA KUSAGA AME LOSE INTREST NA SHOW BUSINESS
Alikiba njoo jamii Forum kipenzi usome Koment za watu tuangalie tunajipangaje...mimi penda sana wewe tutafika tu mradi tukubali kukosolewa
Inakuwa ngu hata kumpata ukiwa na show may be au kitu cha maana halafu anasema insta ni mashabiki tu ndo wamemfanya atumie ila Hana mzuka nayo ndo maana anaweza pitisha week hajapost kitu chochote wakati zama zimebadilka ya KIBA na wizkidi akili zao sijui zipoje wajeuri wote wanaringia vipaji vyao ila wizkidi jeuri zaidi waacha tuone mwisho wake
Tatizo la kiba ni jeuri yule jamaa na ni stubborn mpaka akusikilize amekuheshimu Sana
Ukiangalia wasanii wengi kwenye page zao za mitandao wameweka jinsi ya kuwapata (booking contact) either insta au penginepo ila yule jamaa ni mbishi na ni jeur
Hata yule manager wake wa zamani g lover ilikuwa wanakosana kwa kitu hichohicho bongo hakuna Kama kiba