Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wanasema nafasi haiji mara mbili! Wakati ana rudi na ule wimbo wa Mwana alikuwa na nafasi wa kutengeneza pesa nyingi sana kupitia ule wimbo lakini cha kushangaza aliishia moshi tuu! Huwa najiuliza Alikiba ana shida gani?Mi sidhani kama seven na management nzima hawayajui haya aliyoyaeleza lara1, ikiwa mimi mwananchi wa kawaida kabisa nayaelewa, huwezi nishawishi kuwa akina seven, alikiba na management nzima hawayajui.
Nafikiri kuna kitu kingine kizuri wanaanda, japo upepo wa utimu wameshindwa kuutumia vizuri, kama hakuna kizuri kinachoandaliwa basi kuna shida zaidi ya hii tunayoiona.
Kwetu sie raha tu shows kama mvua. Go goo chibu.