Management yote ya simba ijiuzuru

Management yote ya simba ijiuzuru

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Hii fedheha imezidi haiwezekani kila tukikutana na yanga sisi ni kufungwa au draw. Tunaenda uwanjani huku moyoni tuna wasiwasi mwingi

Management wao wanaangalia biashara tu hawatujali sisi mashabiki. Wote wajiuzuru watuachie timu yetu.
 
Kama kiwango Cha timu kinapimwa kwa kufungwa na Simba au yanga.
Kwa timu hizi mbili.
Tanzania tuna safari ndefu Sana kwenye MPIRA.
kafungwa Manchester United goli 4 na Brentford lakini hauwezi kusikia mashabiki wanaojua mpira wakisema kocha ajiuzulu.
ni AIBU SANA.kuwa na mashabiki Kama nyie
 
Hii fedheha imezidi haiwezekani kila tukikutana na yanga sisi ni kufungwa au draw. Tunaenda uwanjani huku moyoni tuna wasiwasi mwingi

Management wao wanaangalia biashara tu hawatujali sisi mashabiki. Wote wajiuzuru watuachie timu yetu.

Kwani sisi Simba tuna hatimiliki ya kushinda kila mchezo? Ligi ndiyo inaanza tuache mihemko isiyokuwa ya kiwanamichezo.
 
Timu ya babako? unachangia shilingi ngapi kusajili, kulipa mshahara wachezaji, kuwasafirisha kwenye mechi au kuwalisha? Acha waliowekeza fedha zao wazungumze wewe fuata ushauri wa askofu mpemba kafanye kazi za kukuingizia kipato sio kila saa simba yanga....simba yanga....simba yanga.....Tembelea jukwaa la ujasiriamali ujifunze hata kufuga kuku wakubwa asili ya ujerumani na mexico ... hizo habari za simba na yanga waachie waswahili wa kwenye kahawa wanaoishi mjini kwa nyumba za urithi na chuma ulete. Kijana mdogo muda wa kazi huu unaleta habari za kwenye kahawa?
 
Timu ya babako? unachangia shilingi ngapi kusajili, kulipa mshahara wachezaji, kuwasafirisha kwenye mechi au kuwalisha? Acha waliowekeza fedha zao wazungumze wewe fuata ushauri wa askofu mpemba kafanye kazi za kukuingizia kipato sio kila saa simba yanga....simba yanga....simba yanga.....Tembelea jukwaa la ujasiriamali ujifunze hata kufuga kuku wakubwa asili ya ujerumani na mexico ... hizo habari za simba na yanga waachie waswahili wa kwenye kahawa wanaoishi mjini kwa nyumba za urithi na chuma ulete. Kijana mdogo muda wa kazi huu unaleta habari za kwenye kahawa?
Tunaumia sisi mashabiki inaumiza sana tunawaza namna hata ya kurudi nyumbani kutoka kwenye vibanda vyetu. Wote wajiuzuru
 
Hii fedheha imezidi haiwezekani kila tukikutana na yanga sisi ni kufungwa au draw. Tunaenda uwanjani huku moyoni tuna wasiwasi mwingi

Management wao wanaangalia biashara tu hawatujali sisi mashabiki. Wote wajiuzuru watuachie timu yetu.
Wala hakuna fedheha yoyote ile kwa kufungwa na Yanga. Ni bahati mbaya tu baadhi yenu mashabiki mna mihemko kupitiliza.
Timu yenu bado ni nzuri. Na pia benchi zima la ufundi. Na ushahidi niliuona kwenye ile mechi na St. George.


Mechi za Derby huwa hazitabiliki. Kwa taarifa yako, hata sisi mashabiki wa Yanga wengi wetu hatukuwa na uhakika wa timu yetu kushinda, tena ukijimlisha na yale matokeo na Vipers siku ya kilele cha Wananchi.
 
Back
Top Bottom