Manager wa Ney wa mitego ashangazwa na utajiri wa Ney

Hapo kwenye Red ndio UKISIKIA WACHAWI WA MCHANA NA WENGINE WOTE WANA HOJI UTAJIRI KATOA WAPI?Mimi nauliza miezi 7 mingi au michache?Huyo meneja ni kama yule aliyempigisha magoti PNC shabaash.Alitaka still awe hohehae kama yeye au ?Na yeye ajiunge na mafreemason aone kama hajatoka.
 
Nyumba 4 inawezekana lakini kuna aina mbili za nyumba...
1.Nyumba bora
2.Bora nyumba


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
alishasema ye ndo mjukuu wa lucifer mtamweleza nini so mi siongez labda ndo wale wale
 
mkuu....rudi darasani,...mwandiko....wako...unatisha...

duuh..mkuuu umenidharau sana aisee...yani nirudi darasani nikamwambie nini sasa prof wangu?...kwamba nimekuja kufundishwa kuandika jamii forums?

Anyway...who cares?
 
Wazee wa kuongeza sifuri hao na mijisifa, kina AY, jide, Prof Jay, wapo kimya tu, na wapo vizuri tu.

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kila nikifikiria jinsi Mungu alivyotuumba "miAFRICA" huwa nadhani kuna kitu alisahau kutuwekea either, badala ya kutafuta njia alizozitumia kujenga Ney ili tujifunze mijitu.tumekalia majungu tu... ooh amejengea facebook.... oooh hana uwezo..... oooh anauza sembe..... oooh brah brah....
WEWE KWASABABU BABA YAKO AMEKUFA HANA HATA NYUMBA UNAFIKIRI KILA MTU HAWEZI KUJENGA?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Hahaha ndo kawaida ya wabongo tubadilike jamani kama ni wivu fanyeni kazi
 

Mkuu we ni dokta kweli??
 
Last edited by a moderator:

Wewe SUPU YA MAWE usijitoe ufahamu huyo poyoyo neema wa mitego ataishia kujenga hizo nyumba facebook na twitter tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha ndo kawaida ya wabongo tubadilike jamani kama ni wivu fanyeni kazi

Mwambie aache ujinga wa kitoto anamdanganya nani sasa? Hiyo murano anaendeshea wapi mbona hatumuoni nayo? Au kama wewe umeiona ebu weka namba zake tuone ili tuzisearch TRA tuone kama ameregister kwa jina lake ili tukate mzizi wa fitna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…