johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
kwamba wanafaa kuunga mkono ufirauni?Bila kujali nahodha ni Muislamu au Mkristo au Pagani ni lazima avae nembo za rangi ya Mashoga
Sasa hawa Watoto wanaoshinda kwenye kubeti wanafundishwa Maadili gani?
Niishie hapo 🐼
aah, papa!Mesuit ozil alishakataa kuvaa kitambaa cha ushoga kwasababu yeye ni muislam na hakuvaa
Idris Gana Gueye alikataa kuvaa jezi ya PSG iliyoandikwa namba kwa rangi za ushoga na baadae aliondolewa kikosini
Juzi mchezaji wa Manchester united Noussair Mazraoui alikataa kuvaa masweta ya Adidas yaliyokua yamewekewa nembo za ushoga na wachezaji wenzake wakamsapoti na timu nzima haikuvaa kwasababu dini yake inamkataza.
Kwahiyo kuhusiana na waislam wao misimamo yao ni kupinga siyo kama huyu mzee hapa anaebariki ushogaView attachment 3169789
Usiegemee kwenye udiniMesuit ozil alishakataa kuvaa kitambaa cha ushoga kwasababu yeye ni muislam na hakuvaa
Idris Gana Gueye alikataa kuvaa jezi ya PSG iliyoandikwa namba kwa rangi za ushoga na baadae aliondolewa kikosini
Juzi mchezaji wa Manchester united Noussair Mazraoui alikataa kuvaa masweta ya Adidas yaliyokua yamewekewa nembo za ushoga na wachezaji wenzake wakamsapoti na timu nzima haikuvaa kwasababu dini yake inamkataza.
Kwahiyo kuhusiana na waislam wao misimamo yao ni kupinga siyo kama huyu mzee hapa anaebariki ushogaView attachment 3169789
We lini umemuona Salah kavaa kitambaa cha ukapteni chenye rangi ya ushoga?Usiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga
Ahsante sana kwa ufafanuzi MzuriUsiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga
Virgil van Dirk ashakataa kuvaa kitambaa cha ushogaWe lini umemuona Salah kavaa kitambaa cha ukapteni chenye rangi ya ushoga?
Leta picha ya Mo salah akiwa amevaa kitambaa cha ushoga na useme ilikua mechi gani.Virgil van Dirk ashakataa kuvaa kitambaa cha ushoga
Ila Salah Huwa anavaa
Guechi ndo nani? Hakuna mchezaji anaitwa Guech epl alafu Hata Granit Xhaka kukataa kuvaa kitambaa cha ushoga ni uongo huyu hapa kavaa sanaUsiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga
Ipswich Captain Sam Morsy muongeze hapo aligoma juzi kuvaa bendera ya LGBTQ km captainMesuit ozil alishakataa kuvaa kitambaa cha ushoga kwasababu yeye ni muislam na hakuvaa
Idris Gana Gueye alikataa kuvaa jezi ya PSG iliyoandikwa namba kwa rangi za ushoga na baadae aliondolewa kikosini
Juzi mchezaji wa Manchester united Noussair Mazraoui alikataa kuvaa masweta ya Adidas yaliyokua yamewekewa nembo za ushoga na wachezaji wenzake wakamsapoti na timu nzima haikuvaa kwasababu dini yake inamkataza.
Kwahiyo kuhusiana na waislam wao misimamo yao ni kupinga siyo kama huyu mzee hapa anaebariki ushogaView attachment 3169789
Ongeza Sam Morsy aligomea juzi hapo ukawa mtiti balaa mwisho wakakubaliana asivaeGuechi ndo nani? Hakuna mchezaji anaitwa Guech epl alafu Hata Granit Xhaka kukataa kuvaa kitambaa cha ushoga ni uongo huyu hapa kavaa sanaView attachment 3169804
Kwa wachezaji waislam wengi sana wamekataa kuvaaIpswich Captain Sam Mosry muongeze hapo aligoma juzi kuvaa bendera ya LGBTQ km captain
Sio uingereza tu hata huku wapoBila kujali nahodha ni Muislamu au Mkristo au Pagani ni lazima avae nembo za rangi ya Mashoga
Sasa hawa Watoto wanaoshinda kwenye kubeti wanafundishwa Maadili gani?
Niishie hapo 🐼