Alfu Lela U lela
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 204
- 341
Guehi alivaa ila aliandika ''i love Jesus", kuna kapteni yule wa Ipswich ndo aligoma kuvaa kabisaUsiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga