Alfu Lela U lela
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 204
- 341
Guehi alivaa ila aliandika ''i love Jesus", kuna kapteni yule wa Ipswich ndo aligoma kuvaa kabisaUsiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga
Una edit ili iweje mkuuGuechi ndo nani? Hakuna mchezaji anaitwa Guech epl alafu Hata Granit Xhaka kukataa kuvaa kitambaa cha ushoga ni uongo huyu hapa kavaa sanaView attachment 3169804
Nenda google kamgoogle granit xhaka na vin dijk wakiwa na rainbow armband utazikuta picha nyingi tu mi niedit ili iweje na wakati wanacheza mechi hadharani na tumewaona wakivaa ushoga? Wewe ndo unataka kuleta habari za uongo kuwa mohamed salah huwa anavaa hiyo ni uongo mtupuUna edit ili iweje mkuu
....Kama vile WAISILAMI walivyo na Undugu na Waarabu kiasi Cha Kuwauzia Bandari ! [emoji57]Waulizwe WAKRISTO si ndio wana undugu na hao waingereza??
Hapa umetupiga! Salah?..sio kweli.Usiegemee kwenye udini
Mohamed Salah ni muislam ila anavaa
Granit Xhaka na Guech ni wakristo lakini waligoma kuvaa hayo mavitambaaa
Kwaiyo hakuna dini inayorusu ushoga