Kanavaro, El Kapatain, Nahodha, Jitu Jeusi, Jitu la Misimamo! Ami yuko sahihi, alichofanya Mkwassa ni kama Malaya wa Baa, kukaa kwenye meza yenye bia nyingi... Alikuwa anatafuta huruma ya wakubwa na washabiki kwa kumpa unahodha kipenzi chao, haipendezi hata kidogo.
Huyo Samatta timu ya taifa ana skendo ya kucheza bila kujituma na kusingizia majeraha, hafai kuwa nahodha!
Acha Matusi! Midomo yenu michafu ndo Maana mmekosea hata kupiga kura Jecha akaufuta