Kanavaro, El Kapatain, Nahodha, Jitu Jeusi, Jitu la Misimamo! Ami yuko sahihi, alichofanya Mkwassa ni kama Malaya wa Baa, kukaa kwenye meza yenye bia nyingi... Alikuwa anatafuta huruma ya wakubwa na washabiki kwa kumpa unahodha kipenzi chao, haipendezi hata kidogo.
Huyo Samatta timu ya taifa ana skendo ya kucheza bila kujituma na kusingizia majeraha, hafai kuwa nahodha!
yeah sure, hilo lipo ndani ya uwezo wake kabisa, ila akifikiria anapata majanga kwenye timu ya taifa then hapati thamani anayostahili, hata mimi ningeacha tukwa style hiyo hata mimi ningechukia kwa kweli...ila basi ampuuze Mkwasa na alifikilie taifa katika maamzi yake!
Wapi nimetukana Rasta?Acha Matusi! Midomo yenu michafu ndo Maana mmekosea hata kupiga kura Jecha akaufuta
Mawazo yenye ushabiki wa Usimba na Uyanga. Hao makinda wametoka kwenye academy ipi!!!! Au ni wale wale waliopitia kwenye mifumo ya akina Cannavaro usiowapenda????Yeye, Yondani, Erasto Nyoni wapumzike tu na vijana wengine wapewe nafasi timu ya Taifa. Tumekuwa tunafungwa magoli ya kipuuzi sababu ya uzembe wa hawa mabeki.
Nchi hii ina wachezaji wengi vijana, mbona John Terry aliondolewa England na Chris Smalling aka emerge kuwa beki mzuri sasa hivi?! Na wanampa nafasi kinda mwingine anaitwa John Stones akiwa na miaka 20 tu! Tuwape nafasi vijana bhana, hakuna haja ya kuwalilia hawa wazee.
Kanavaro, El Kapatain, Nahodha, Jitu Jeusi, Jitu la Misimamo! Ami yuko sahihi, alichofanya Mkwassa ni kama Malaya wa Baa, kukaa kwenye meza yenye bia nyingi... Alikuwa anatafuta huruma ya wakubwa na washabiki kwa kumpa unahodha kipenzi chao, haipendezi hata kidogo.
Huyo Samatta timu ya taifa ana skendo ya kucheza bila kujituma na kusingizia majeraha, hafai kuwa nahodha!
Ndo wajifunze kuwaandaa ... Ni lazima wapewe nafasi kuanzia ngazi ya club to nationwise.Mawazo yenye ushabiki wa Usimba na Uyanga. Hao makinda wametoka kwenye academy ipi!!!! Au ni wale wale waliopitia kwenye mifumo ya akina Cannavaro usiowapenda????
Lakini nina hakika Unahodha hakupewa kupitia kipindi cha michezo redioni!
Mtu huhukumiwa kwa analotenda, hahukumiwi kwa analokisiwa angetenda!Unaamini angeteuliwa kuwa nahodha au Mchezaji bora kupitia kipind cha Michezo Radion angekataa?
Kama ni kosa kakosewa na Mkwassa kususa unalisusia Taifa Zima kwa kujitoa Timu ya Taifa.
Alishawah kuongoza wachezaj wa Timu ya Zanzibar kugawana Dola elf 10 za Zawad wakiwa Uganda bila ya kufuata utaratibu akafungiwa ZnZ leo anajifanya 'Team kanuni na taratibu'.
Watu wazima wana nini kwani? Mimi nimetoa mfano wa baa, kwani baa hakuna wanawake, hawakimbilii meza zenye bia nyingi? Kwani Starz hakuna Mkwassa, hajamkimbizia Unahodha Samatta ambaye ndio 'habari ya mjini'?ndugu yangu inaonekana hukuwah kabisa kukaa na wazazi au walezi. maana angalau wangekufundisha matumizi sahihi ya maneno kwa watu wazima. anyway....nadhan hili jambo umelichukulia kwa hasira sana na sijui ni kwa mtizamo upi maana nikiangalia hapa naona kuna mitizamo mingi inayowangoza watu kumtukana mkwassa. anaweza akawa amekosea au amepatia but ni vyema kuwa na ustaarabu. nani alimpa unaodha cannavaro? alimpa kwa barua inayosemaje? well ....kama aliambiwa tu we naodha kuna tatizo gani akiambiwa tu kuwa sasa zamu ya mwenzio? kama hakuambiwa kabisa before kutangazwa samatta hapo kidogo aliteleza alipaswa amwambie mhusika kwanza kuwa bwana tuna kupa mapumziko kidogo. but si kumtukana pia.