Bukwabi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 3,352
- 1,148
Wakuu,
Nashawishika kuomba nisaidiwe na wanajamvi kuhusu msanii huyu wa Bongo movies ambaye habari zimekuwa zikienea kuwa ni actor mzuri wa picha za wakubwa (porn movies).
Kwa yeyote anayefahamu vizuri CV yake atuambie huyu mtu ni nani hasa na hizi tetesi ni za kweli? Kama ni kweli hivi kweli watanzania, kwa namna tunavyoaminika kwa ustaarabu, tunaruhusu mambo haya yafanywe nchini kwetu ?
Karibuni
Nashawishika kuomba nisaidiwe na wanajamvi kuhusu msanii huyu wa Bongo movies ambaye habari zimekuwa zikienea kuwa ni actor mzuri wa picha za wakubwa (porn movies).
Kwa yeyote anayefahamu vizuri CV yake atuambie huyu mtu ni nani hasa na hizi tetesi ni za kweli? Kama ni kweli hivi kweli watanzania, kwa namna tunavyoaminika kwa ustaarabu, tunaruhusu mambo haya yafanywe nchini kwetu ?
Karibuni