Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Ukiongezea na Limao la kuchoma ITAPENDEZA ZAIDI.Ukiongezea na miwa ya kuchemsha iliyotiwa pilipili kidogo itapendeza!
Changanya na lost la pera itakuwa bora na zaidi kidogo.🤣🤣🤸♂️
Weekend Raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiongezea na Limao la kuchoma ITAPENDEZA ZAIDI.Ukiongezea na miwa ya kuchemsha iliyotiwa pilipili kidogo itapendeza!
achana na juice yake... ugali wa unga wa tembele uupate na mchuzi wa papai pamoja na rosti la vifuu vya nazi si mchezoNa makoko ya juice ya tembele
Weee hujawahi onja ya mapera wewe [emoji39]unashushia na juisi ya konokonomishikaki ya embe dodo ndio ipo pouw
Sanaa[emoji39]hapo upate na chapati za pumba za mpungaEsepeshale wawe konokono weusi, wanakuwa na juise tamu Kama ya mbegu za pipi
Umewahi kuyaona kablaView attachment 1643633