OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ona huyu kahamisha mada. Mada imekuzidi kimo?Zidi kujitahidi kuanzisha nyuzi kwa wingi Mtani kwani Kidogo kidogo maumivu uliyonayo baada ya Timu ya Wananchi kuingia quarter final yatapungua na hatimaye kwisha kabisa Mtani. 🤣🤣
Tikisa kichwa kisha rudi kwenye mada. Kama huna hata akili ndogo ya kujadili mada basi usitukane makocha. Wana familia wale. Hili sio jukwaa la wavuta bangeYani nyinyi olewenu muingize timu kwenye hiyo game ya league iliyobaki, juma bonge na kale kazee naomba wasihusike kabisa kwenye tukio tutakalo wapiga.
😅😅 mada au porojo.Ona huyu kahamisha mada. Mada imekuzidi kimo?
Kutoka Yanga hawana ubavu michuano ya kimataifa mpaka kombe la losers naona sasa tunaanza kuelewana taratibu nyinyi endeleeni na ushindi wenu wa hila Nusu kaputi FC. Yanga ndio timu ya kwanza itayokuwa ya kwanza kunyanyua ndoo CAF amini hilo dundukaView attachment 2559064
Wahenga walisema tuwe na akiba ya maneno. Hii ni kauli ya msemaji wa klabu ambaye jukumu lake ni kusemea klabu na uongozi wa klabu.
Hoja yangu ni kwamba, Yanga bado mnalitambua kama kombe la loosers au vinginevyo?
Mimi sio taasisi naandika kwa utashi binafsi. Kwa hiyo tukubaliane taasisi iliropoka au imejaa waropokaji.😅😅 mada au porojo.
Hayo ni mapungufu ya kibinadamu na ndio sababu hata we mwenyewe akiba ya maneno huna hadi kuna wakati baadhi ya nyuzi zako huwa unazikimbia. 😀
Unajadili mada gani. Soma tenaKutoka Yanga hawana ubavu michuano ya kimataifa mpaka kombe la losers naona sasa tunaanza kuelewana taratibu nyinyi endeleeni na ushindi wenu wa hila Nusu kaputi FC. Yanga ndio timu ya kwanza itayokuwa ya kwanza kunyanyua ndoo CAF amini hilo dunduka
Hebu amka utajikojolea bureeeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka Yanga hawana ubavu michuano ya kimataifa mpaka kombe la losers naona sasa tunaanza kuelewana taratibu nyinyi endeleeni na ushindi wenu wa hila Nusu kaputi FC. Yanga ndio timu ya kwanza itayokuwa ya kwanza kunyanyua ndoo CAF amini hilo dunduka
Utaula wa chuya sioYani nyinyi olewenu muingize timu kwenye hiyo game ya league iliyobaki, juma bonge na kale kazee naomba wasihusike kabisa kwenye tukio tutakalo wapiga.