OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wahenga walisema tuwe na akiba ya maneno. Hii ni kauli ya msemaji wa klabu ambaye jukumu lake ni kusemea klabu na uongozi wa klabu.
Hoja yangu ni kwamba, Yanga bado mnalitambua kama kombe la loosers au vinginevyo?