Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Manara alishasema pale utopoloni hakuna mwenye akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RAGE ALIWAHI KUSEMA WANASIMBA WOTE NI MBUMBUMBU [emoji16]KIONGOZI NA AFISA UHAMASISHAJI WA YANGA ALIWAHI KUSEMA
"YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE MANARA".
HAJI SANDAY MANARA.
POLIMILAI
Yaan katika wale aliowasema wenye akili huko UTO wewe alisahau kukutaja eehKama umemjulia Manara akiwa Simba bado humjui Manara, huyo ni tatizo tangu akiwa Ccm, majukwaa aliyekuwa akipanda Manara ni matusi kwa CUF na watu wa Ccm wakamjaza kichwa kwamba ndio kiboko ya CUF.
Manara ameharibika tangu akiwa Ccm haya unayoyaona leo ni madogo.
Pamoja na mema yote aliyofanya GSM kwa Yanga, lakini kitendo cha kumleta Manara Yanga ametukosea sana tena sana.
Anachokifanya Manara sasa si kwamba ana mapenzi na Yanga, Bali kisasi chake binafsi na Simba.
Nashangaa sana taasisi kubwa kama Yanga inakaa kimya kuchonganishwa na Simba wakati Yanga haina ugomvi wowote na Simba.
Manara hayupo kwenye utani wa jadi, Manara anatumia platform ya Yanga kutowa nyongo zake kwa Simba hili halikubaliki.
Na kwa watu wenye akili timamu ni kweli Manara alikuwa akiwahujumu Simba na Madam Barbara alikuwa Sahihi sana.
Muda huwa ndio unaamuwa kila kitu, kama kuna mtu wa Yanga mpaka leo haoni tatizo kwa Manara basi atafute mchezo mwingine wa kushabikia kwenye football hakumfai maana atakuwa hajui lolote kuhusu mpira.
Manara akae hukohuko GSM, ila Yanga hatumtaki kabisa.