Manara aambiwe ukweli kuwa muda wake umeisha

Yaan katika wale aliowasema wenye akili huko UTO wewe alisahau kukutaja eeh

UTO kuna muda mkitoa mwiko mnakuwa na akili sana.
 
Manara akae hukohuko GSM, ila Yanga hatumtaki kabisa.

mh!!!???
 
Cha kushangaza followers wengi wa huyo Haji Manara huko anakotolea hizo pumba zake, ni nyinyi mashabiki wa simba! I wish mngemuahidi walau mshahara wa juu kidogo, ili arejee kundini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…