nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Kila siku wewe ni kujifanya kutoa amri na ultimatum kwenye media,wewe kikaragosi ni wa kutoa amri kwa Simba au MO? kila siku ukihojiwa kazi yako kudanganya ulisoma Mass Comm South Africa na Advanced Diploma ya siasa China.
I CHALLENGE you toa vyeti hadharani tuone AU TAJA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA
Kipindi TFF wanataka kukazia ma afisa habari wawe wamesomea ulianza kuaga kabisa mapema na kulialia ukijua Gift Macha anachukua nafasi yako sababu yeye ana degree ya SAUT kina Try again wakakutetetea uendelee kubaki kumbe walikuwa wanafuga joka bila kijujua wamekuja kustuka too late
NARUDIA TENA WEWE MANARA TOA VYETI HADHARANI AU WEKA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA SOUTH AFRICA NA CHINA, MUONGO MKUBWA WEEEEEE
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
I CHALLENGE you toa vyeti hadharani tuone AU TAJA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA
Kipindi TFF wanataka kukazia ma afisa habari wawe wamesomea ulianza kuaga kabisa mapema na kulialia ukijua Gift Macha anachukua nafasi yako sababu yeye ana degree ya SAUT kina Try again wakakutetetea uendelee kubaki kumbe walikuwa wanafuga joka bila kijujua wamekuja kustuka too late
NARUDIA TENA WEWE MANARA TOA VYETI HADHARANI AU WEKA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA SOUTH AFRICA NA CHINA, MUONGO MKUBWA WEEEEEE
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh