Manara acha uongo, weka vyeti hadharani au toa majina ya vyuo

Manara acha uongo, weka vyeti hadharani au toa majina ya vyuo

Mkumbushe basi sukule kwamba leo alhamisi atupe TBT flani basi ya picha za vyuoni China na south africa
Najaribu kuvuta kumbukumbu kama alishawahi kuulizwa swala vyeti alipokuwa makolokolo FC ambapo alifanya kazi aka 7 tena alipendwa kweli kweli...

Kama hili la vyeti halikuwa tatizo alipokuwa Makolo FC wewe ni wakupuuzwa.
 
Najaribu kuvuta kumbukumbu kama alishawahi kuulizwa swala vyeti alipokuwa makolokolo FC ambapo alifanya kazi aka 7 tena alipendwa kweli kweli...

Kama hili la vyeti halikuwa tatizo alipokuwa Makolo FC wewe ni wakupuuzwa.
Mkuu kama upo naye karibu muambie leo alhamisi apost hata logo ya hivyo vyuo basi kama vyeti havipo
 
Mkuu kama upo naye karibu muambie leo alhamisi apost hata logo ya hivyo vyuo basi kama vyeti havipo
Anakwambia hajawahi kuulizwa vyeti na hatowahi kuulizwa vyeti timu yoyote atakayotaka kufanya kazi...ikiwemo MAKOLO FC
 
Mfano Elon Musk anaajiri watu kwa kuangalia uwezo wao haijalishi una cheti au hauna, kuna fani sikuhizi watu hawaangalii una cheti au hauna watu wanaangalia uwezo wako wa kukamilisha jambo na kupata matokeo chanya. Unaweza kusoma mass communication, pr, etc Ila ukashindwa ku deliver kama manara. Otherwise achunge tu maneno yake yasiwe ya kuvunjia watu heshima.
Sasa Manara anawakilisha mini?! Yaani kuzaliwa uzaramuni na kujua kuongea maneno mengi kwa haraka yasio na mpangilio ndio kuwa na uwezo?!watanzaniat wengi ni wapumbavu
 
awe na vyeti au asiwe na vyeti, hilo halina uzito, tunachojali ni kwamba tunaona kwa macho yetu kazi anaiweza kuzidi msemaji yeyote aliewahi kutokea hapa bongo , wapo waliosomea phd za haya mambo lakini kwenye kazi hawafikii hata robo
Mkuu, sio suala la kuwaona, ni suala la kisheria. Sheria ilipopitishwa, serikali ilitoa miaka 5 waandishi wasio na walau diploma waende wakasome, na ukomo wa kipindi hicho ni Desemba mwaka huu 2021. Baada ya hapo mtaona watu watakapokuwa wanapukutika, sehemu yoyote yenye kuhitaji mtu anayeitwa 'mwandishi wa habari' lazima akae mtu mwenye Diploma na zaidi ya uandishi wa habari
 
Makolo wana gubu sana...manara mlifukuza...mlifikiri atakufa njaa au awe omba omba.... Mwacheni mtoto wa watu afurahie maisha... Mleta hoja nenda mahakamani, ukadai hayo makaratasi...
 
Kila siku wewe ni kujifanya kutoa amri na ultimatum kwenye media,wewe kikaragosi ni wa kutoa amri kwa Simba au MO? kila siku ukihojiwa kazi yako kudanganya ulisoma Mass Comm South Africa na Advanced Diploma ya siasa China.

I CHALLENGE you toa vyeti hadharani tuone AU TAJA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA

Kipindi TFF wanataka kukazia ma afisa habari wawe wamesomea ulianza kuaga kabisa mapema na kulialia ukijua Gift Macha anachukua nafasi yako sababu yeye ana degree ya SAUT kina Try again wakakutetetea uendelee kubaki kumbe walikuwa wanafuga joka bila kijujua wamekuja kustuka too late

NARUDIA TENA WEWE MANARA TOA VYETI HADHARANI AU WEKA MAJINA YA VYUO NA MWAKA ULIOSOMA SOUTH AFRICA NA CHINA, MUONGO MKUBWA WEEEEEE

Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
Elimu ya Manara inakuhusu nini watu wanacheza na kipaji alichonacho.Wivu unakusumbua,Babra knawatumia sana kushusha heshima ya Manara inaonekana mnalipwa posho kumtengenezea Manara majungu na kumshusha heshima kwa jamii.Acha hizo wewe, Ama kweli Njaa mbaya sana
 
awe na vyeti au asiwe na vyeti, hilo halina uzito, tunachojali ni kwamba tunaona kwa macho yetu kazi anaiweza kuzidi msemaji yeyote aliewahi kutokea hapa bongo , wapo waliosomea phd za haya mambo lakini kwenye kazi hawafikii hata robo uwezo wa DE LA BOSS MANARA.

--Manara ndie msemaji anaelipwa mno, milioni 9 kwa mwezi, huu ni mshahara wa miezi miwili ama mitatu ya mwalimu wa chuoni, hapohatujagusia mpunga anaopokea kwenye ubalozi wa azam, gsm na asas, pesa iliyokuwa inamtunza zaidi kuzidi ule mshahara wa laki 7

-Manara ndie msemaji anaekera zaidi upinzani lakini cha ajabu wanaendelea kumfollow hawataki kumu unfollow 😀 😀

--Manara ndie msemaji anaeweza kufanya promo za kujaza dimba,

--Manara ndie msemaji anaeweza kuukera upinzani kwa kiwango cha juuu (kuwakera, maneno ya shombo, kebehi, n.k. ) leo hii tayari mtu akisema "KOLO" picha inakuja ya simba
Hakuna na hayupo mfanyabiashara mpumbavu atakae weza kumlipa Manara zaidi ya 2 millions!!!....Kwa Hali inavyoenda tutaanza kuongelea Manara badala ya Yanga ni aibu Kwa mashabiki na wanachama wa Yanga badala waongelee Team Yao,wapo wanaongelea mtu tena kisa kagombana na mwaajiri wake wa awali ni aibu kuu hii
 
Elimu ya Manara inakuhusu nini watu wanacheza na kipaji alichonacho.Wivu unakusumbua,Babra knawatumia sana kushusha heshima ya Manara inaonekana mnalipwa posho kumtengenezea Manara majungu na kumshusha heshima kwa jamii.Acha hizo wewe, Ama kweli Njaa mbaya sana
Hamna hata picha za graduation mkuu?
 
Hakuna na hayupo mfanyabiashara mpumbavu atakae weza kumlipa Manara zaidi ya 2 millions!!!....Kwa Hali inavyoenda tutaanza kuongelea Manara badala ya Yanga ni aibu Kwa mashabiki na wanachama wa Yanga badala waongelee Team Yao,wapo wanaongelea mtu tena kisa kagombana na mwaajiri wake wa awali ni aibu kuu hii
Wivu huo ulitaka uajiriwe wewe.
 
Hakuna na hayupo mfanyabiashara mpumbavu atakae weza kumlipa Manara zaidi ya 2 millions!!!....Kwa Hali inavyoenda tutaanza kuongelea Manara badala ya Yanga ni aibu Kwa mashabiki na wanachama wa Yanga badala waongelee Team Yao,wapo wanaongelea mtu tena kisa kagombana na mwaajiri wake wa awali ni aibu kuu hii
Sema wewe ndio huwezi mkuu, bando lenyewe hilo umetembea kilometa nzima kwenda kutumia wifi ya bure 😂 😂 😂 Milioni 9si ktu kabisa kwa Bakhresa huyu aliyeanza kusaidia kila timu ya ligi kuu milioni 50 kila mwezi kwa miaka 10 mfululizo
 
Mkuu, sio suala la kuwaona, ni suala la kisheria. Sheria ilipopitishwa, serikali ilitoa miaka 5 waandishi wasio na walau diploma waende wakasome, na ukomo wa kipindi hicho ni Desemba mwaka huu 2021. Baada ya hapo mtaona watu watakapokuwa wanapukutika, sehemu yoyote yenye kuhitaji mtu anayeitwa 'mwandishi wa habari' lazima akae mtu mwenye Diploma na zaidi ya uandishi wa habari
hahaha, Makolo mmenzibuliwa kweli kweli hadi mnchanganyikiwa, kwa hio manara saizi kawa wandishi wa haari ehhh 😂 😂 😂

Manara anawapumulia kweli kweli
 
Sema wewe ndio huwezi mkuu, bando lenyewe hilo umetembea kilometa nzima kwenda kutumia wifi ya bure [emoji23] [emoji23] [emoji23] Milioni 9si ktu kabisa kwa Bakhresa huyu aliyeanza kusaidia kila timu ya ligi kuu milioni 50 kila mwezi kwa miaka 10 mfululizo
Anasaidia kila timu ya ligi kuu?! Ndivyo alivyokuambia wakati umeinana chuma mboga?
 
--Manara ndie msemaji anaeweza kuukera upinzani kwa kiwango cha juuu (kuwakera, maneno ya shombo, kebehi, n.k. ) leo hii tayari mtu akisema "KOLO" picha inakuja ya simba

Hakuna Jina litakuja kulipiku UTOPOLO kamwe,yani UTO kama UTO ipo juu,hayo mengine mnajifurahisha tu baada ya muda mchache yanapotea,but UTOPOLO litabaki kuwa juu.
 
Hakuna Jina litakuja kulipiku UTOPOLO kamwe,yani UTO kama UTO ipo juu,hayo mengine mnajifurahisha tu baada ya muda mchache yanapotea,but UTOPOLO litabaki kuwa juu.
hakuna jina lililozoeleka ndani ya muda mfupi kama kolo 😂 😂 😂 haiji kutokea tena hii,
 
Sema wewe ndio huwezi mkuu, bando lenyewe hilo umetembea kilometa nzima kwenda kutumia wifi ya bure 😂 😂 😂 Milioni 9si ktu kabisa kwa Bakhresa huyu aliyeanza kusaidia kila timu ya ligi kuu milioni 50 kila mwezi kwa miaka 1
Sema wewe ndio huwezi mkuu, bando lenyewe hilo umetembea kilometa nzima kwenda kutumia wifi ya bure 😂 😂 😂 Milioni 9si ktu kabisa kwa Bakhresa huyu aliyeanza kusaidia kila timu ya ligi kuu milioni 50 kila mwezi kwa miaka 10 mfululizo
Twende kwenye uhalisia tuache ushabiki!!.. unadhani kila anae andika humu ni masikini hebu panua ubongo wako!!.. unadhani 9 millions per Month ni kama fedha unayopewa kusafishwa huo mtaro wako mchafu!!..au ndio kama kumnunulia chupi Mama yako!!..Uwe unatuliza mtaro wako mchafu huko sio kila anaendika hapa kakosa akili kama Baba yako huko anaacha mtoto unakua kama punguani!!..Fikiria wakati mwengine!!!
 
Wivu huo ulitaka uajiriwe wewe.
Angalia uchumi wetu ukoje?!!..kama huyu anaweza kulipwa fedha hiyo Kwa uchumi dhaifu namna hii inawezekana!!??..Au unadhani analipwa Kwa viwango vya serikali ya wapi?!!..Au ushabiki ndio unalipa?!.. unadhani viongozi wa Yanga ni Nani analipwa fedha hiyo?!!..Kama mchezaji ghari wa Yanga halipwi 10 millions itakuaje!!..Fikiria mbali zaidi!!..GSM anawezaje kumlipa Fedha hiyo wakati ana madeni lukuki na wafanyakazi wake wanalia ukata!!..Au twendelee na Ushabiki tu!!!
 
hahaha, Makolo mmenzibuliwa kweli kweli hadi mnchanganyikiwa, kwa hio manara saizi kawa wandishi wa haari ehhh 😂 😂 😂

Manara anawapumulia kweli kweli
Nafasi ya afisa habari au Mkuu wa Kitengo cha Habari inahitaji sifa ya kuwa mwandishi wa habari. Kumbuka Mkuu wa Kitengo cha Habari anasimamia audio, video, TV, social media (instagram, facebook, twitter, website etc), sasa angalia vitu vyote hivi, kwa vyovyote vinahitaji mtu mwenye taaluma, sio kipaji tu cha kuongea.
 
mbona haya maswala mlikua hamuullizi alivyokua Simba??
Hukumbuki yeye mwenyewe amesema kazi ya kwanza aliyopewa Senzo wakati anaingia Simba ilikuwa ni kumuondoa Manara? Tafsiri yake ni kwamba taaluma yake ilikuwa questionable tangu akiwa Simba
 
Back
Top Bottom