Manara acha uongo, weka vyeti hadharani au toa majina ya vyuo

hahah, hayo ndio mnayajua leo ehh, alipokuwa simba je?

Hebu tulieni dawa iwaningie makolo, msitikisike bado shughuli haijaisha, show show yani hadi inamalizika kisogo tumewapumulia kweli kweli

Kwa taarifa yenu hayo mambo ya elimu hayana nafasi, MANARA HAINDOKI!!!!!

LITAKUFA JITU MWAKA HUU
 
Mkuu, Simba inacheza uwanjani, mengine haya ni ya management zaidi. Kila timu iwekeze inapoona panawafaa. Simba imewekeza uwanjani, Yanga imewekeza kwenye watumishi. Vikosi vya wachezaji vitakutana uwanjani, na vikosi vya watumishi vitakutana nje ya pitch
 
sasa mbona umejij8bu vizuru kabisa, ndio ukae kimya sasa usubiri mechi zenu, manara mpuuzeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…