Manara amefungiwa kujihusisha na soka ,mechi ya Leo sio ya mashindano ya tff,ni sherehe ya yanga ,manara kaja kama mc

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nachojua mm manara kaja pale kama mc wa shughuli tu, na mechi ya Leo sio ya tff ni yanga wanasherehekea na kutambulisha wachezaji wao ,,hivyo hii mechi tff haiwahusu nachojua manara baada ya kumaliza ka UMC ameenda zake,,bodi ya ligi iwe makini na mihemuko ya watu wenye chuki binafsi na manara ,huyu mtu hachezi Mpira uwanjani Wala hayumo kwenye uongozi wa juu wa klabu ,yeye ni msemaji wa klabu na amefungiwa usemaji wa yanga sio umc
 
Hata Shafie haumuoni akijihusisha na NDONDO CUP!
 
Nyie ndiyo maadui wakubwa wa Haji Manara,hamtaki kumwambia ukweli bali mnapa sifa za kijinga na kumjaza upumbavu. Hivi shughuli ya leo kwa Mkapa ilikuwa ya jando na unyago?
 
Inabidi tuwaulize ile shughuli pale kwa mkapa ilikuwa wa Jando au Unyango ila kama Uwo U.. MC basi Uto leo alikuwa anaolewa
 
Mkuu mbona heading yako tu inakosoa?? Ko kilichofanywa jana pale lupaso hakihusiani na SOKA??
 
Hamjui mtajua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…