Manara ana kipaji cha pekee, wanayanga tunamwamini

Wewe ni shabiki wa Yanga ambaye Manara alikuwa anawasemea hawana akili au mahaba na Yanga yanakufanya utete hata upuuzi. Manara ameitia doa sana mpaka mimi kama shabiki wa Yanga nilijisikia aibu. Kafanya makosa mengi sana ikiwepo kudili na mambo yasiyo husika na shughuli kwa kulazimisha Mobeto aje kwenye utambulisho, katoka sana kwenye kutozingatia itifaki watu wanamweka sawa yeye analazimisha hili ni kujiona ni mkubwa ndani ya taasisi ya Yanga eti siondoki mpaka sijui fulani aje. Kapoteza sana muda jana kwa mambo yake ya ovyo na ujinga.
 
Manara mshirikina , kule golini Nani alimtuma?
 
Sijui umekula maharage yaliyoozea wapi. Sijui kama uliangalia Ahmed Ally alivyokuwa amejipangilia na kuji compose kwenye usemaji wa Simba day?
Mleta mada anazungumzia kuhusu kazi ya Manara huku akihusishwa Ally Kamwe, wewe unambattle Manara na Ahmed Ally ,kazi ipo
 
Sishangai maana nyie utopolo mlikuwa mnampigia Harmonize makofi kwa kuimba ujinga ujinga.
 
Mleta mada anazungumzia kuhusu kazi ya Manara huku akihusishwa Ally Kamwe, wewe unambattle Manara na Ahmed Ally ,kazi ipo
Simba wanamuogopa Sana Manara, Yaani wanakosa kujiamini, Wana bahati mbaya kwao Sasa Yanga ime imarika Sana kwaiyo Simba wategemee shughuli nzito kuanzia tarehe 8 na kuendelea.
 
Mr.bugati TZA😊
 
Sawa lakini si ushasema ni wana Yanga tayari? Manara huyu huyu ndiye anayewaroga wananchi mumuone mtu wa maana huku akiwatukana kila kukicha kuwa hamna akili na mnamkubali.
 
Ukweli na usemwe tu, jana mambo yalikuwa hovyo hovyo tu.
 
Very true 😃 mpaka MWANA FA na vice DKT. MPANGO wakawa wanaona aibu.
Yaana nilijikuta nacheka ... Manara anamwita bosi kama vile yeye ndiye bosi na GSM ni mfanyakazi.

Mara anamkuwadia Hamisa kwa Ki Azizi, mara Harmonize anasema hataki kusikia stori za Kajala .. Yaani tafrani tupu
 
Mimi ni shabiki wa Yanga. Ila katika hili, kwa kweli hatuko pamoja. Manara yupo Yanga kwa ushawishi wa mwajiri wake tu GSM. Na siyo mashabiki, au wanachama.
 
Manara kwenye hamasa na usemaji wa mpira wetu wa kibongo hana mpinzani, analijua vizuri soka la kibongo
 
Simba wanamuogopa Sana Manara, Yaani wanakosa kujiamini, Wana bahati mbaya kwao Sasa Yanga ime imarika Sana kwaiyo Simba wategemee shughuli nzito kuanzia tarehe 8 na kuendelea.
Uzuri Manara tunamjua toka anaakili mpaka punguwani,sasa akipata i hizi dawa tunayo tuleteeni.
 
Yaana nilijikuta nacheka ... Manara anamwita bosi kama vile yeye ndiye bosi na GSM ni mfanyakazi.

Mara anamkuwadia Hamisa kwa Ki Azizi, mara Harmonize anasema hataki kusikia stori za Kajala .. Yaani tafrani tupu
Wanasemaga huwa Wana smoke weed na kunywa POMBE
Hope walikua HIGH
 
Kweli ni mbunifu sana kuchanganya tamasha la mpira na tamasha la mapenzi yaani two in one hakika wanayanga wamepata thamani ya hela yao
 

Attachments

  • IMG-20240805-WA0001.jpg
    106.6 KB · Views: 1

Manara na Kamwe wana nafasi tofauti kila mtu ana majukumu yake....Kuna Afisa/maneja habari na Msemaji.
 
Sijui umekula maharage yaliyoozea wapi. Sijui kama uliangalia Ahmed Ally alivyokuwa amejipangilia na kuji compose kwenye usemaji wa Simba day?
So unataka wafanane au unataka kusemaje?

Mwanao anashika mkia shule unataka afanane na mtoto wa jirani yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…