Kuna clip Manara akiwa kwenye Press ya Yanga jana wakiwa meza moja na Bumbuli kabla press haijaanza wakawa wanaongea bila kujua wanarekodiwa.
Manara: Nini hiki?
Bumbuli: Hawa si ndo wadhamini wetu?
(Maji afya).
Manara 😀uh huu mtihani kwangu (yeye balozi wa maji ya uhai)
Bumbuli: anacheka
Manara: Wana mkataba hadi lini?
Bumbuli: bado wanao
Manara: wanatoa hela yote na nzuri?
Bumbuli: Aaah kawaida tu(Bumbuli ananong'oneza "tupo live tunachukuliwa")
NB: Manara anarudia alichokuwa anakifanya Simba, kwenye press ya Simba alikuwa anatoa bidhaa za Mo ambaye ni mdhamini wa Simba kwa vile yeye anatangaza bidhaa za Azam maji ya uhai.
Jana Press ya Yanga hataki bidhaa za afya ambao ni wadhamini wa Yanga kwa vile yeye anatangaza maji ya Uhai,labda mkataba wake unazuia kwa vile ni balozi lakini inaleta mkanganyiko kutoa bidhaa za mdhamini wa club kwenye press ya club kisa we ni balozi wa kampuni nyingine.Halafu hapo hapo anauliza wanatoa hela yote na nzuri ?Manara haipendi Yanga anaangalia maslahi yake.
Manara analeta mgongano wa maslahi kwenye club ya Yanga ni suala la mda tu.
===
Clip ipo na yote aliyoandika hapo ni ya kweli, nimeiona twitter, alizungumza kabla hajaanza kuwadanganya wajinga jana kwamba Yanga ndio timu yenye vikombe vingi Tanzania, wakati yeye mwenyewe akiwa Simba SC alishakiri Simba ndio babalao.
Manara ni tapeli tu kwa sasa anayeishi kijanja janja.
Clip ipo na yote aliyoandika hapo ni ya kweli, nimeiona twitter, alizungumza kabla hajaanza kuwadanganya wajinga jana kwamba Yanga ndio timu yenye vikombe vingi Tanzania, wakati yeye mwenyewe akiwa Simba SC alishakiri Simba ndio babalao.
Manara ni tapeli tu kwa sasa anayeishi kijanja janja.
Clip imezagaa kwenye mitandao mingi mpaka youtube,insta n,k
Haji kafanya vile kwasababu yeye ni mkubwa kuliko Yanga,na gsm ndo wamemleta pale sio club ya Yanga.pesa ina nguvu kuliko utashi.
Clip imezagaa kwenye mitandao mingi mpaka youtube,insta n,k
Haji kafanya vile kwasababu yeye ni mkubwa kuliko Yanga,na gsm ndo wamemleta pale sio club ya Yanga.pesa ina nguvu kuliko utashi.
Nimejikuta tu nimecheka, halafu nikakumbuka uzi wa mwana Yanga mmoja aliyetoa nyongo kuhusu ubabaishaji wa waendeshaji wa timu yetu ya Yanga. Naona dalili ya moto kuwaka maana saivi moshi unafukuta ndani kwa ndani. Itokee tu matokeo mazuri uwanjani ndio dawa ya kufunika kombe. Ila endapo Yanga itakuwa na matokeo mabaya basi Manara atakuwa na wakati mgumu sana Yanga. Smt016 pitia huku Manara tayari kachafua hali ya hewa
Clip ipo na yote aliyoandika hapo ni ya kweli, nimeiona twitter, alizungumza kabla hajaanza kuwadanganya wajinga jana kwamba Yanga ndio timu yenye vikombe vingi Tanzania, wakati yeye mwenyewe akiwa Simba SC alishakiri Simba ndio babalao.
Manara ni tapeli tu kwa sasa anayeishi kijanja janja.