Manara anaendeleza kilichomtoa Simba

Manara anaendeleza kilichomtoa Simba

Nimejikuta tu nimecheka, halafu nikakumbuka uzi wa mwana Yanga mmoja aliyetoa nyongo kuhusu ubabaishaji wa waendeshaji wa timu yetu ya Yanga. Naona dalili ya moto kuwaka maana saivi moshi unafukuta ndani kwa ndani. Itokee tu matokeo mazuri uwanjani ndio dawa ya kufunika kombe. Ila endapo Yanga itakuwa na matokeo mabaya basi Manara atakuwa na wakati mgumu sana Yanga. Smt016 pitia huku Manara tayari kachafua hali ya hewa

Bora wewe unaukubali ukweli,wenzio hawataki kabisa ku admit kama ni swala la muda tu kabla ya moto kulipuka.
 
Kuna clip Manara akiwa kwenye Press ya Yanga jana wakiwa meza moja na Bumbuli kabla press haijaanza wakawa wanaongea bila kujua wanarekodiwa.

Manara: Nini hiki?
Bumbuli: Hawa si ndo wadhamini wetu?
(Maji afya).
Manara 😀uh huu mtihani kwangu (yeye balozi wa maji ya uhai)
Bumbuli: anacheka
Manara: Wana mkataba hadi lini?
Bumbuli: bado wanao
Manara: wanatoa hela yote na nzuri?
Bumbuli: Aaah kawaida tu(Bumbuli ananong'oneza "tupo live tunachukuliwa")

NB: Manara anarudia alichokuwa anakifanya Simba, kwenye press ya Simba alikuwa anatoa bidhaa za Mo ambaye ni mdhamini wa Simba kwa vile yeye anatangaza bidhaa za Azam maji ya uhai.

Jana Press ya Yanga hataki bidhaa za afya ambao ni wadhamini wa Yanga kwa vile yeye anatangaza maji ya Uhai,labda mkataba wake unazuia kwa vile ni balozi lakini inaleta mkanganyiko kutoa bidhaa za mdhamini wa club kwenye press ya club kisa we ni balozi wa kampuni nyingine.Halafu hapo hapo anauliza wanatoa hela yote na nzuri ?Manara haipendi Yanga anaangalia maslahi yake.

Manara analeta mgongano wa maslahi kwenye club ya Yanga ni suala la mda tu.
===
View attachment 1930283
 
Haji endelea kupiga spana jamaa wanazidi kuchanganyikiwa. Endelea kupiga kwenye mshono.
 
Haji endelea kupiga spana jamaa wanazidi kuchanganyikiwa. Endelea kupiga kwenye mshono.

094A92B2-635C-4A45-BE7B-7BD904772290.jpeg
 
Maswali fikirishi kutoka kwa Manara kwenda kwa Bumbuli:-
  • Hivi hawa jamaa (Maji ya Afya) wana mkataba mpaka lini?
  • Hivi hawa jamaa ( Maji ya Afya) wanalipa hela nzuri?

Mambo ya mkataba ya timu na usemaji wa timu yanahusiana nini. Kwa elimu ndogo aliyonayo hata akipewa mkataba kati ya Yanga na Maji ya Afya anaweza kweli kuusoma na kutafsiri kwa usahihi hata kipengele kimoja. Hayo mambo ya mikataba awaachie wataalamu wakina wakili Simon yeye abakie na shughuli yake ya kupiga debe. Viongozi wa Yanga na GSM wanapaswa wamuelekeze mapema mipaka yake juu ya nini cha kusema na nini cha kuacha vinginevyo ipo siku ataiingiza Yanga kama taasisi kwenye matatizo ya mikataba halafu itatakiwa Yanga walipe pesa ndefu.

Vinginevyo labda Manara na Bumbuli walitumwa na viongozi na GSM wafanye yale waliyofanya mbele ya waandishi makusudi ili kuwatimua Maji ya Afya kijanja hapo itakuwa sawa.
 
Clip ipo na yote aliyoandika hapo ni ya kweli, nimeiona twitter, alizungumza kabla hajaanza kuwadanganya wajinga jana kwamba Yanga ndio timu yenye vikombe vingi Tanzania, wakati yeye mwenyewe akiwa Simba SC alishakiri Simba ndio babalao.

Manara ni tapeli tu kwa sasa anayeishi kijanja janja.
Inshu ya vikombe si iko wazi kwani na hili linajificha mpk mseme anadangaya ama la...
 
Maswali fikirishi kutoka kwa Manara kwenda kwa Bumbuli:-
  • Hivi hawa jamaa (Maji ya Afya) wana mkataba mpaka lini?
  • Hivi hawa jamaa ( Maji ya Afya) wanalipa hela nzuri?

Mambo ya mkataba ya timu na usemaji wa timu yanahusiana nini. Kwa elimu ndogo aliyonayo hata akipewa mkataba kati ya Yanga na Maji ya Afya anaweza kweli kuusoma na kutafsiri kwa usahihi hata kipengele kimoja. Hayo mambo ya mikataba awaachie wataalamu wakina wakili Simon yeye abakie na shughuli yake ya kupiga debe. Viongozi wa Yanga na GSM wanapaswa wamuelekeze mapema mipaka yake juu ya nini cha kusema na nini cha kuacha vinginevyo ipo siku ataiingiza Yanga kama taasisi kwenye matatizo ya mikataba halafu itatakiwa Yanga walipe pesa ndefu.

Vinginevyo labda Manara na Bumbuli walitumwa na viongozi na GSM wafanye yale waliyofanya mbele ya waandishi makusudi ili kuwatimua Maji ya Afya kijanja hapo itakuwa sawa.
navyoona mimi manara aliuliza hivo Kama afya wanalipa vizuri ili afanye comparison na uhai ,kaka wanalipa vizuri aombe ubalozi,maana anataka aingie hadi chumbani
 
Kuna clip Manara akiwa kwenye Press ya Yanga jana wakiwa meza moja na Bumbuli kabla press haijaanza wakawa wanaongea bila kujua wanarekodiwa.

Manara: Nini hiki?
Bumbuli: Hawa si ndo wadhamini wetu?
(Maji afya).
Manara 😀uh huu mtihani kwangu (yeye balozi wa maji ya uhai)
Bumbuli: anacheka
Manara: Wana mkataba hadi lini?
Bumbuli: bado wanao
Manara: wanatoa hela yote na nzuri?
Bumbuli: Aaah kawaida tu(Bumbuli ananong'oneza "tupo live tunachukuliwa")

NB: Manara anarudia alichokuwa anakifanya Simba, kwenye press ya Simba alikuwa anatoa bidhaa za Mo ambaye ni mdhamini wa Simba kwa vile yeye anatangaza bidhaa za Azam maji ya uhai.

Jana Press ya Yanga hataki bidhaa za afya ambao ni wadhamini wa Yanga kwa vile yeye anatangaza maji ya Uhai,labda mkataba wake unazuia kwa vile ni balozi lakini inaleta mkanganyiko kutoa bidhaa za mdhamini wa club kwenye press ya club kisa we ni balozi wa kampuni nyingine.Halafu hapo hapo anauliza wanatoa hela yote na nzuri ?Manara haipendi Yanga anaangalia maslahi yake.

Manara analeta mgongano wa maslahi kwenye club ya Yanga ni suala la mda tu.
===
View attachment 1930283
Huyu jamaa mshipa wa aibu umekatika na sreams hapa YouTube ya Wasafi unahisi kama watu wawili tofauti kumbe ni mtu mmoja.
 
Huyu jamaa mshipa wa aibu umekatika na sreams hapa YouTube ya Wasafi unahisi kama watu wawili tofauti kumbe ni mtu mmoja.
namsikiliza wasafi fm ,ila jamaa kachanganyikiwa
 
Yani wewe umezoea uongo tu!!...Kila mtu kaiona wewe unabisha?!!
Wewe nawe acha ujinga wa ki Facebook humu. Ukifungua izi wa jambo au madai fulani humu ni vyema ukaweka na attachment ili uzi uwe na uthibitisho kamili.. na ndio maana ikawekwa video ili wasiomsikia wamsikie, wasioiona waione.
Na sikubisha kwasababu sijui kama ni kweli au si kweli bali nimemtaka aweke video. Acha upimbi onesha wapi nilipobisha
 
Wewe nawe acha ujinga wa ki Facebook humu. Ukifungua izi wa jambo au madai fulani humu ni vyema ukaweka na attachment ili uzi uwe na uthibitisho kamili.. na ndio maana ikawekwa video ili wasiomsikia wamsikie, wasioiona waione.
Na sikubisha kwasababu sijui kama ni kweli au si kweli bali nimemtaka aweke video. Acha upimbi onesha wapi nilipobisha
Uzuri wa lugha yetu ni Hivi!!!..Ukimuona Mwenzako mjinga au pimbi maana yake!!.. wewe ni mpumbavu zaidi!!.. wakati mwengine tuepuke kutumia maneno ambayo hatuyajui!!..Kama unajua ni kweli kulikua na haja gani kutaka iwekwe hapa na huku ukibisha?!!.. Wakati mwengine huwa tunawaza kama Mpira ndio unaweza kukutoa akili namna hii hivi wewe huwezi kuwa unatumikisha baadhi ya viungo na maumbile yako kinyume!!..Hii ni aibu sikutaka kufika mbali namna hii!!
 
Uzuri wa lugha yetu ni Hivi!!!..Ukimuona Mwenzako mjinga au pimbi maana yake!!.. wewe ni mpumbavu zaidi!!.. wakati mwengine tuepuke kutumia maneno ambayo hatuyajui!!..Kama unajua ni kweli kulikua na haja gani kutaka iwekwe hapa na huku ukibisha?!!.. Wakati mwengine huwa tunawaza kama Mpira ndio unaweza kukutoa akili namna hii hivi wewe huwezi kuwa unatumikisha baadhi ya viungo na maumbile yako kinyume!!..Hii ni aibu sikutaka kufika mbali namna hii!!
Naomba ui quote hapa reply yangu inayoonesha nimebisha. Zaidi ya kusisitiza mleta mada aweke video hapa. Nakupa ruksa unioneshe wapi nilipoandika kupingana na mleta mada. Acha mihemko
 
Jana Press ya Yanga hataki bidhaa za afya ambao ni wadhamini wa Yanga kwa vile yeye anatangaza maji ya Uhai,labda mkataba wake unazuia kwa vile ni balozi lakini inaleta mkanganyiko kutoa bidhaa za mdhamini wa club kwenye press ya club kisa we ni balozi wa kampuni nyingine.Halafu hapo hapo anauliza wanatoa hela yote na nzuri ?Manara haipendi Yanga anaangalia maslahi yake.
Hakuna cha mkanganyiko wowote hapo, ni suala la uelewa tu! Na uelewa wenyewe ni kwamba, wote; Yanga, Haji na Azam wanatakiwa kufahamu Haji anapokuwa kwenye Press ya Yanga, bidhaa zinazotakiwa kuwa displayed ni zile za Yanga na sio za Haji personally unless wafanye makubaliano! Kama alipokuwa Simba ndivyo alivyokuwa pia anafanya basi Makorokoro mlimlea sana sana huyu jamaa, matokeo yake leo mnalia lia wakati maujinga yote anayofanya hivi sasa ametoka nayo huko huko, na mkawa mnayalea na kuyashangilia!! Hata hilo la bidhaa lazima aone ni la kawaida kwa sababu ndivyo alivyokuwa anafanya!!
 
Back
Top Bottom