Manara anajiona mungu mtu kwenye mpira wa Tanzania.

ni wapi manara kasema yeye ni mungu au ni udwanzi wako?
 
Nyie si ndiyo mmepandisha

Na kuwa hapo leo

Ova
 
Manara kazidi anaenda mpaka kwenye personal life alimwambia kitenge ana basha wake yuko marekani ndio maana kila wakati anaenda huko.
Hakuna mtu asiyemjua Manara.., mm nashida na hao wachambuzi mchwara.
 
Tatizo la manara ni mlemavu wa ngozi ndo mana anakuwa hajiamini anaamua kutukana watu kujirinda
 
Manara kazidi anaenda mpaka kwenye personal life alimwambia kitenge ana basha wake yuko marekani ndio maana kila wakati anaenda huko.
Acha ukuda mbona na wewe unamuongelea?
 
Sijawahi kuelewa Yanga tulikuwa na shida gani ya kiasi hicho hadi kumchukua Morison na Manara
 
Umungu mtu upo kwenye kupinga mawazo ya watu wengine na kuwatukana.
huo sio u mungu mtu,kwa maelezo hayo uliyosema ni majivuno,dharau na mtu mwenye mdomo mchafu,kama hujui lugha acha kusema
 
Kiboko yake ni jerry muro slimuita zeruzeru akalia kama mtoto
 
Anajisikia mno huyo kiumbe ,angezaliwa familia ya Mo au Bakhresa hahaha tungehama nchi
 
Alimfitini Antonio Nugaz wape salam hadi GSM wakasitisha kuendelea naye. Mnoko sana yule umbwa.
Alishawahi kuandika gazeti refu anataka majay amfukuze jemedari, akapuuzwa. Baadaye akaona bora aanze kuponda EFM tu na kaiponda kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…