Manara anatoa wapi ujasir Wa Kuwait's simba ni WAPUMBAFU

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe juu yenu

Je ni kweli simba ni wapumbavu kama alivyosema manara au hasira tu

Tunakumbuka miaaka ya nyuma mwenyekiti Wa simba alisema simba ni mambumbumbu AKA mashibhumbu

Je ni kweli simba ni wapumbavu na mambumbubu?

Kwanini viongoz Wa simba wanawakosea heshima shabiki zao had kuwaita majina mabaya

Na kwanini dauda naye kaiita simba ni underdog

What's the problems


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa anaongozwa na mihemko ndo tatizo, anataka kujiona yeye ni mkubwa kuliko simba kitu ambacho si kweli.. Akiambiwa ukweli anatoka povu balaa, anavyobwatuka vile sijui kama ana baraka za uongozi... Hamna shabiki atakaekaa kimya timu ikivurunda!
 
jamaa anaongozwa na mihemko ndo tatizo, anataka kujiona yeye ni mkubwa kuliko simba kitu ambacho si kweli.. Akiambiwa ukweli anatoka povu balaa, anavyobwatuka vile sijui kama ana baraka za uongozi... Hamna shabiki atakaekaa kimya timu ikivurunda!
Lakin mbona mashabiki Wa simba wanaonewa sana mkuu

Mo alisema simba ni mke wake
Manara naye kawaita wapumbafu Je ni wapumbafu kweli au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja!
Alhaji Ismail Aden Rage alipowaita mbumbumbu nilisema lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja. Nahisi lilikuwepo na limeshakuja tayari maana kiongozi mwingine mwandamizi kawaida Wapumbavu ambalo msamaha yake ni mbumbumbu..

Leo nithibitisha bila Shaka kuwa hii timu yetu ni mbumbumbu FC aka Wapumbavu fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja!
 
Walikuwa kwenye mkutano Rage hayupo kawaambia walikuwa kwenye kikao cha Kitchen party

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo ukweli ni Wapumbavu FC, aka Mbumbumbu FC, aka Mikia FC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…