Manara anatoa wapi ujasir Wa Kuwait's simba ni WAPUMBAFU

Manara anatoa wapi ujasir Wa Kuwait's simba ni WAPUMBAFU

IMG_20190128_170412_739.jpg
 
Lakin mbona mashabiki Wa simba wanaonewa sana mkuu

Mo alisema simba ni mke wake
Manara naye kawaita wapumbafu Je ni wapumbafu kweli au

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli MASHABIKI WANAONEWA, HAMNA SHABIKI ANAEPENDA TIMU YAKE KUFANYA VIBAYA......KUWAITA WAPUMBAVU NI HASIRA ZAKE ILA KAMA ANAMAANISHA MMMHHHH
 
Aman iwe juu yenu

Je ni kweli simba ni wapumbavu kama alivyosema manara au hasira tu

Tunakumbuka miaaka ya nyuma mwenyekiti Wa simba alisema simba ni mambumbumbu AKA mashibhumbu

Je ni kweli simba ni wapumbavu na mambumbubu?

Kwanini viongoz Wa simba wanawakosea heshima shabiki zao had kuwaita majina mabaya

Na kwanini dauda naye kaiita simba ni underdog

What's the problems


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
this is simba... this is simbaaaaaaaa this is simbaa.?
msemaji wa club ya simba bwana HJI MANARA Ana matatizo kichwani kazi za usemaji sio kuzungumza sana kama kichaa wala sio kuzungumza mambo ya ufundi hayo ya kocha tubadilike
 
Alhaji Ismail Aden Rage alipowaita mbumbumbu nilisema lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja. Nahisi lilikuwepo na limeshakuja tayari maana kiongozi mwingine mwandamizi kawaida Wapumbavu ambalo msamaha yake ni mbumbumbu..

Leo nithibitisha bila Shaka kuwa hii timu yetu ni mbumbumbu FC aka Wapumbavu fc

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaahhaa
 
Aman iwe juu yenu

Je ni kweli simba ni wapumbavu kama alivyosema manara au hasira tu

Tunakumbuka miaaka ya nyuma mwenyekiti Wa simba alisema simba ni mambumbumbu AKA mashibhumbu

Je ni kweli simba ni wapumbavu na mambumbubu?

Kwanini viongoz Wa simba wanawakosea heshima shabiki zao had kuwaita majina mabaya

Na kwanini dauda naye kaiita simba ni underdog

What's the problems


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa maana ya underdog?
Unataka uwaiteje mbale ya wapinzani wao?
 
Back
Top Bottom