Manara anazungumza na vyombo vya habari

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
JAMANI mnyamwez ndo anahutubia TAIFA hivi sasa karibuni tu DIGEST spichi yake
 
😂😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅😆😆😆😁😁😄😄😄😃😃😃😃😃
 
Yanga Wamejitoa kwenye changizo la Nani zaidi baada ya kuona wamezidiwa na Simba.
 
# Haji makombe

# shareef el Buggatti
# Haji Matrophy

Haji ni mzuri akiwa upande wako, akiwa kwa wapinzani wako ni mbaya kama Mayele.

# Buggati for life
 
# Haji makombe

# shareef el Buggatti
# Haji Matrophy

Haji ni mzuri akiwa upande wako, akiwa kwa wapinzani wako ni mbaya kama Mayele.

# Buggati for life
Haha umeongea kweli.
Usisahau yeye ndiye amezipachika simba na yanga majina mabaya ya utani...utopolo na makolo
 
Haha umeongea kweli.
Usisahau yeye ndiye amezipachika simba na yanga majina mabaya ya utani...utopolo na makolo

Jina la Utopolo muanzilishi sio yeye, ni shabiki mmoja wa Yanga jina limenitoka, alisema Utopolo maana yake ni kitu kilicholegea mithili ya mlenda.

Ni huyu [emoji1541]View attachment 2263003
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…