huwa anazungumza pasi na ushirikiano kati ya Ubongo & MdomoLzm ata tema boko
Ivi zile mike zikienda kupimwa nafikiri lzm mle watakuta mate lita 3.5huwa anazungumza pasi na ushirikiano kati ya Ubongo & Mdomo
Mwaka huu mtaongea mengiAnarusha mate kama water sprinkler
Wamebakiza kunena kwa lughaMwaka huu mtaongea mengi
Haha umeongea kweli.# Haji makombe
# shareef el Buggatti
# Haji Matrophy
Haji ni mzuri akiwa upande wako, akiwa kwa wapinzani wako ni mbaya kama Mayele.
# Buggati for life
Haha umeongea kweli.
Usisahau yeye ndiye amezipachika simba na yanga majina mabaya ya utani...utopolo na makolo
Kama Simba asingekuwa anabebwa na system asingeweza kutamba miaka 4. Uwanja uko fair Sasa hivi tuangalie Kama mtaamka.Mlinzi anaumwa kununua vyakula cya kupika kwenye sherehe wakati mpishi hajapatikana.Hatimaye mgumba kapata mtoto.
Samahani.mlinzi anatumwatuangalie