Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Aliye kuwa msemaji wa Simba na sasa msemaji wa Yanga Haji S Manara amesema ataishitaki Klabu ya Simba kwa kumtumikisha bila mkataba.
Manara ameyasema hayo akiwa anafanyiwa mahojiano na Divathebawse kwenye kipindi cha lovedavi cha Wasafi FM. Manara amesema Klabu ya simba ilimtumikisha kwa zaidi ya miaka 6 pasipo kuwa na mkataba hivyo ataishitaki club hiyo.
Manara ameongeza kwa kusema ataishitaki club hiyo baada ya kutoka kwenye mechi zake za club bingwa, pia amesema yeye ndiye alie fanya Simba ifahamike kwa kuwavuta mashabiki wengi kushabikia Simba.
Pia Manara amesema ndani ya simba kuna watu wanao mpa taarifa ya yanayo jilisababu kuna watu wanamfuatilia Manara.
Ameendelea kwa kusema simba imemuhujumu sana hadi kuingilia baadhi ya biashara zake za ubalozi wa makampuni, pia amesema ana siri nyingi za simba ambazo hata robo hajawahi kuzisema hivyo ipo siku siri hizo atazitoa hivyo ikifika muda huo siri zote atazitoa labda wamuuwe lakini kama yupo hai atazisema.
Manara ameyasema hayo akiwa anafanyiwa mahojiano na Divathebawse kwenye kipindi cha lovedavi cha Wasafi FM. Manara amesema Klabu ya simba ilimtumikisha kwa zaidi ya miaka 6 pasipo kuwa na mkataba hivyo ataishitaki club hiyo.
Manara ameongeza kwa kusema ataishitaki club hiyo baada ya kutoka kwenye mechi zake za club bingwa, pia amesema yeye ndiye alie fanya Simba ifahamike kwa kuwavuta mashabiki wengi kushabikia Simba.
Pia Manara amesema ndani ya simba kuna watu wanao mpa taarifa ya yanayo jilisababu kuna watu wanamfuatilia Manara.
Ameendelea kwa kusema simba imemuhujumu sana hadi kuingilia baadhi ya biashara zake za ubalozi wa makampuni, pia amesema ana siri nyingi za simba ambazo hata robo hajawahi kuzisema hivyo ipo siku siri hizo atazitoa hivyo ikifika muda huo siri zote atazitoa labda wamuuwe lakini kama yupo hai atazisema.