Manara asema ataishitaki Simba

mimi mshabiki wa simba ila kama anasema kweli sheria inasemaje ?
 
Akacheze anapo chezaga[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Manara ni malaya na ana mdomo mchafu huyo ni mke wa tatu kumkimbia na wengine walimkimbia kabla ya kuwa Simba na ni jeuri so asisingizie Simba, pia ni mwanamke asiye jielewa anayeweza kuishi na mwanaume design yake
Astaghifirullah!😝😝😝😝😝
 
Hakuna hata mmoja aliyezungumzia hayo madai yake ya kufanyishwa kazi bila mkataba miaka 6 zaidi ya kumlaumu hapo napo kuna tatizo.
Marehemu hanspope alitoa ufafanuzi mzuri sana juu ya sakata hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…