NdioUnamanisha manara ndiye Balozi wao
Wewe unaiwakilisha jf yote? Member wote? Ongea wewe kama wewe acha kuhusisha wengine.Waswahili wana msemo pumbu si mzigo kwasababu ni lako jf acha ikuvumilie tu.
Yaani sielewi kwanini waandishi wa habari Bongo wanamuogopa jamaa, he's a nobody ila anajikuza tu.Anadanganya kuwa kaenda sijui kusalimu Kumbe amekimbiwa
Unashangaa, huyu jamaa kila mwanamke anayemuweka ndani anamkimbia na sasa anamfukuzia demu mmoja wa EFM aitwaye Tunu Shenkome....naye sitoshangaa akija mkimbia. Yaani ni kama ana laana fulani hivi na mademu.Ile ndoa aliyofunga majuzi tu ishakufa..?!
Astaghifirullah!πππππManara ni malaya na ana mdomo mchafu huyo ni mke wa tatu kumkimbia na wengine walimkimbia kabla ya kuwa Simba na ni jeuri so asisingizie Simba, pia ni mwanamke asiye jielewa anayeweza kuishi na mwanaume design yake
Inasema aachwe na mkewe.mimi mshabiki wa simba ila kama anasema kweli sheria inasemaje ?
Marehemu hanspope alitoa ufafanuzi mzuri sana juu ya sakata hiloHakuna hata mmoja aliyezungumzia hayo madai yake ya kufanyishwa kazi bila mkataba miaka 6 zaidi ya kumlaumu hapo napo kuna tatizo.