Manara asitudanganye tena usiku wa leo amepata ajali

Manara ni mmoja kati ya watu walowahi kujichanganya duniani
 
Kama ni ajali ya kweli iwe na picha, vinginevyo tukutane insta atueleze vizuri yule mganga wao wa Bagamoyo safari hii hawakumlipa pesa yake yote, au amesafiri.
Hata ile ya siku ya show ya Mama J ali fake ile ajali tu. Ila huyu kiumbe kaumbwa bila mshipa wa aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…