Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Sep 14, 2021 #21 ChamasonMorisonBwalyason said: Kunguru fc umesahau nini humu Click to expand... Mkuu hamna nilichosahau mkuu.
ChamasonMorisonBwalyason said: Kunguru fc umesahau nini humu Click to expand... Mkuu hamna nilichosahau mkuu.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Sep 14, 2021 #22 Shadow7 said: Manara atapata tabu sana Click to expand... Laana haijawahi kumuacha Mtu Salama.
K Kingtox JF-Expert Member Joined Sep 13, 2021 Posts 263 Reaction score 316 Sep 14, 2021 #23 Manara ni mmoja kati ya watu walowahi kujichanganya duniani
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Sep 15, 2021 #24 denooJ said: Kama ni ajali ya kweli iwe na picha, vinginevyo tukutane insta atueleze vizuri yule mganga wao wa Bagamoyo safari hii hawakumlipa pesa yake yote, au amesafiri. Click to expand... Hata ile ya siku ya show ya Mama J ali fake ile ajali tu. Ila huyu kiumbe kaumbwa bila mshipa wa aibu
denooJ said: Kama ni ajali ya kweli iwe na picha, vinginevyo tukutane insta atueleze vizuri yule mganga wao wa Bagamoyo safari hii hawakumlipa pesa yake yote, au amesafiri. Click to expand... Hata ile ya siku ya show ya Mama J ali fake ile ajali tu. Ila huyu kiumbe kaumbwa bila mshipa wa aibu