Manara atangaza nia kuhamia Yanga

Manara atangaza nia kuhamia Yanga

"Liverpool wakiwatoa Barcelona kwenye UEFA Champions League Msimu huu, Mimi Haji Manara nitaamia Yanga SC na Jezi yao nitavaa....Nitafanya kazi bure kwa kujitolea na Hela Nitachanga mwenyewe kwa sababu hakuna kitu kinachoniuzi kama Yanga," -Amesema Haji Sunday Manara
Maneno yake chini..

Ana matatizo huyo.
 
Back
Top Bottom