Manara ateuliwa tena kuwa Msemaji Rasmi wa Klabu ya Simba

Alafu wengine tunaanza kusahau kiswahili..Manara atoage na madongo ya kizungu tuelewe wote.
 
Ikiuma chomoa..., ni wazi hapa umejijaza upepo kidude kikachomoka.
 
Waliotaka afutwe kabisa nawaona tu wanavyojichubua.

Mnyama nguvu moja
 
Kuna kipindi alikua anajiita mkuu yaani head wa kitengo cha habari ndani ya simba sport club....leo amekua msemaji???
 
Vyura mnapokezana verse...... wana msimbazi tunawacheck tu!
.Manara karudi kwenye nafasi yake!!
 
Ndo maana tunawaambia simba timu ya watu! na lengo letu ni kumshinda mshindani wetu ili mashabiki tuwe na furaha wakati wote. kama manara ni mwana yanga anakuja kuifurahisha simba na kuihudhunisha yanga kwetu sisi ni jambo jema sana......

Manara, kimwili yupo simba ila ki roho yupo yanga...
 
Msemaji au Afisa Habari?
 
Afisa habari alikuwa fred ndimbo msemaji akiwa ni manara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…