Manara atikisa Bujumbura, wamepagawa

Manara atikisa Bujumbura, wamepagawa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mkurugenzi wa idara ya habari ya mabingwa watarajiwa wa Afrika dar young africans anayetarajiwa kuchukua cheo hicho mwezi wa 7 ametikisa Bujumbura ikatikisika vilivyo

Bwana Manara ambaye ni msomi mwenye degree ya media toka south africa na ya politics from China awali ilikuwa agombee U RAIS ila baada ya kuchekecha na kuona kwamba media za makanjanja hazina shida hata mtu wa kutoka camp ya Gsm kugombea cheo hicho wakaona Injinia akichukue tu ingawa ingekuwa upande wa makolo pasingekalika huko ukanjanjani pangewaka moto mijadala tangu asubuhi hadi usiku kwa nini mtu wa Mo apate cheo hicho

Sasa Mkurugenzi huyo mtarajiwa wa idara ya habari wa kuanzia mwezi wa saba baada ya Bumbuli kutimuliwa leo katikisa social media za Bujumbura na Burundi kiujumla baada ya kufanikiwa kuuujaza uwanja wa taifa kwenye mechi ya Burundi vs cameroon , jukumu ambalo alipewa na nchi hiyo baada ya kuisaidia kwa miaka 4 simba kupata ubingwa wa nchi na robo fainali za kutosha Afrika kisha kibaabe kabisa akaipa ubingwa Yanga mwaka huu na anaenda kuipa ubingwa wa afrika.

Burundi kwa kifupi inalishukuru sana bobefu hilo la propaganda, lenye uweledi mkubwa wa kazi yake na lililo na ustaarabu wa hali ya juu kwa kazi iliyotukuka ya kuwavuta mashabiki kujaa uwanjani , hakika lina ushawishi mkubwa sana.
 
Wamehudhuria watu 75
jamaa ana ushawishi mkubwa sana kazi aliyopewa kaifanya vyema, uwanja ulitapika , bumbuli ajiandae mwezi wa saba hana kazi, bobefu linafanywa mkurugenzi wa idara ya habari siyo afisa habari , anapaishwa juu zaidi
 
Mwenzako ametengeneza jina na anapiga pesa, wewe na umbumbumbu wako unapiga Majungu. Kumchukia mwenye maarifa ni kujiumiza ki saikolojia.
 
Mwenzako ametengeneza jina na anapiga pesa, wewe na umbumbumbu wako unapiga Majungu. Kumchukia mwenye maarifa ni kujiumiza ki saikolojia.
suala hapa ni kujaza uwanja hata mashoga wanatengeneza hela , huyo sope albino kila siku si anamtukana Mo dewji au wanalingana kipesa, penda usipende Bujumbura inasmhukuru sana SOPE kwa kufanikisha kujaza uwanja leo
 
Mkurugenzi wa idara ya habari ya mabingwa watarajiwa wa Afrika dar young africans anayetarajiwa kuchukua cheo hicho mwezi wa 7 ametikisa Bujumbura ikatikisika vilivyo

Bwana Manara ambaye ni msomi mwenye degree ya media toka south africa na ya politics from China awali ilikuwa agombee U RAIS ila baada ya kuchekecha na kuona kwamba media za makanjanja hazina shida hata mtu wa kutoka camp ya Gsm kugombea cheo hicho wakaona Injinia akichukue tu ingawa ingekuwa upande wa makolo pasingekalika huko ukanjanjani pangewaka moto mijadala tangu asubuhi hadi usiku kwa nini mtu wa Mo apate cheo hicho

Sasa Mkurugenzi huyo mtarajiwa wa idara ya habari wa kuanzia mwezi wa saba baada ya Bumbuli kutimuliwa leo katikisa social media za Bujumbura na Burundi kiujumla baada ya kufanikiwa kuuujaza uwanja wa taifa kwenye mechi ya Burundi vs cameroon , jukumu ambalo alipewa na nchi hiyo baada ya kuisaidia kwa miaka 4 simba kupata ubingwa wa nchi na robo fainali za kutosha Afrika kisha kibaabe kabisa akaipa ubingwa Yanga mwaka huu na anaenda kuipa ubingwa wa afrika.

Burundi kwa kifupi inalishukuru sana bobefu hilo la propaganda, lenye uweledi mkubwa wa kazi yake na lililo na ustaarabu wa hali ya juu kwa kazi iliyotukuka ya kuwavuta mashabiki kujaa uwanjani , hakika lina ushawishi mkubwa sana.
Rudi shule hujui kuandika aisee.
 
Una uhakika kujaza uwanja sio kazi ya Royal Tour ?

Watanzania wa sasa sijui nani ameturoga ni mwendo wa kupenda sifa, kusifiwa na uchawa.....
 
Kunaalie elewa?

IMG_0630.jpg
 
Back
Top Bottom