Manara awatolea povu mashabiki wa mpira kuhusu picha ya Mayele na Uwoya

Huyu si ni demu wa gsm?
Au nini kimetokea? JamiiForums mobile app
 
Sijaelewa kitu hapo
Nyinyi siku zote ni wazito kuelewa! Hakuna ubishi katika hili. Na ndiyo maana hata mwenyekiti wenu wa zamani kipindi kile alidiriki kuwaita mbumbumbu!

Maana alijitahidi kuwaelewesha weeh kwenye ule mkutano!! Mkawa hamuelewi chochote. Yaani ilikuwa kama anawapigia mbuzi 🐐🐐🐐 gitaa! 🎸
 
Muulize manara bado msimamo wake upo palepale au ametengua kauli?

Maana alisema UTO wote ni mapunguani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…