Huyu si ni demu wa gsm?Hivi kwa mfano ndio ingekuwa kweli shida ni nini?
Hivi Wabongo nani katuroga? Kutwa kuhangaika na maisha ya Watu!!
Mlitegemea Mayele afanye tangazo na Anna kwapa Nene au Shani Nyamichupi?
Mnajisikiaje baada ya kupata ukweli? Kuku nyie !!
@mayelefiston @ireneuwoya8
@gsmmall @maxfashion_tz @gsmtanzania.
View attachment 2439588
Au nini kimetokea? JamiiForums mobile app