Manara hajawahi kushiriki matamasha ya walemavu wa ngozi na hataki kutoa ushirikiano anapohitajika

Manara hajawahi kushiriki matamasha ya walemavu wa ngozi na hataki kutoa ushirikiano anapohitajika

Manara napenda sana spirit yake
Amekuwa msemaji Simba na Yanga Kwa mafanikio
Ni balozi wa makampuni mengi sisi tunaojiona wazima tupo bench

Anabadili mademu wakali ambao sisi tunaojiona wazima hatuwezi miliki
 
Hataki kuwasaidia lakini huo ulemavu wake wa ngozi ndio chanzo kikubwa cha yeye kuwa maarufu.
Manara ni mjinga kama walivyo wajinga wengine.
 
Kwasababu hiyo ndo mnataka awe anaomba misaada?
Hapa hatujazungumzia mambo ya msaada, hapa tunazungumzua ustawi wa jamii kutambua makundi hayo maalum, kama ambavyo yeye anavyoliaga kwamba ananyanyaswa kisa albino!
Alitakiwa ashiriki matamasha katika kutoa elimu
 
Yeye anawanyanyapaa wenxake wanapomuomba msaada
Msaada wa nini ? Na je kutoa msaada ni lazima..., Binafsi nikimwoma alibino juani na hana miwani au kofia naweza kumpa hivyo (kama ninavyo) sababu najua jua linamuumiza..., Au nikiona watu wananyanyasa yoyote yule nitakemea awe Albino, Kichaa, Rais, Mbunge au mtu yoyote..., mfano ni Jukumu la Serikali na wadau wote kuelemisha wale wapuuzi wanaodhani viungo vya hawa watu vina Nguvu...

Hayo mengine nadhani utawasaidia sana ukiwaona ni watu wa kawaida kama wewe ambao they do not lack anything apart from uvumilivu juani kwa kuwaweka katika uduni ndio kunaitwa kunyanyapaa....
 
Hapa hatujazungumzia mambo ya msaada, hapa tunazungumzua ustawi wa jamii kutambua makundi hayo maalum, kama ambavyo yeye anavyoliaga kwamba ananyanyaswa kisa albino!
Alitakiwa ashiriki matamasha katika kutoa elimu
Ualibino sio ulemavu mkubwa tuseme ukweli ni kujiendekeza tu
Albino huko Ulaya hawana tabu
Paul Scores katwanga man u
De Bryune anatwanga man city
 
Hapa hatujazungumzia mambo ya msaada, hapa tunazungumzua ustawi wa jamii kutambua makundi hayo maalum, kama ambavyo yeye anavyoliaga kwamba ananyanyaswa kisa albino!
Alitakiwa ashiriki matamasha katika kutoa elimu
Okeee, basi amewasikia
 
Siyo kwa nia mbaya !

Katika kuboresha na hamasa kwa walemavu hufanyika matamasha mbalimbali kila mwaka!

Viongozi na watu mashuhuli wamekuwa ni mchango mkubwa kufikisha ujumbe kwa jamii!

Haji manara huwa hataki kabisa kushirikishwa kwenye jambo ili awe msemaji wa walemavu wanao omba msaada wake kama influencer!
Mkuu kwani ni lazima aende huko? Maisha ni kuchagua, hayuko interested na hiyo field. Kuchagua maisha yake. Aheshimiwe
 
Hapa hatujazungumzia mambo ya msaada, hapa tunazungumzua ustawi wa jamii kutambua makundi hayo maalum, kama ambavyo yeye anavyoliaga kwamba ananyanyaswa kisa albino!
Alitakiwa ashiriki matamasha katika kutoa elimu
Kwa kupambana kwake, kutokuwa duni na kwenda ana kwa ana kwa yoyote ndio elimu yenyewe..., Yaani hilo ni fundisha tosha kabisa kwa kila mtu.., ni kama Yellow Man alivyokuwa anatubariki kwa Miziki yake..., na alijulikana kwa miziki yake na sio hali yake...., hata yule mdada mwenye sauti nyororo..., nadhani wote tungekuwa na that spirit tungekuwa mbali sana...


View: https://youtu.be/tNyVfiyygsM?si=nPf2zl5bC3pbkhL6
 
Hataki kufanya ulemavu wake kama fursa
Hapana yeye anaweza asiwe na shida kwa sababu kajipata lakini kuna wengine wanahitaji msaada, yeye haombi msaada afaidike, ni anawasemea watu kama yeye, huenda yeye anatumia mafuta ya ngozi ya laki 1 huko, je albino wa maisha haya pangu pakavu, kipato chake elfu 7 kwa siku na tena juani anaweza kumudu hiyo?
 
Back
Top Bottom