Manara: Huwa naogopa mapenzi kuchanganya na biashara au kazi na nishaona madhara yake sehemu kadhaa

Manara: Huwa naogopa mapenzi kuchanganya na biashara au kazi na nishaona madhara yake sehemu kadhaa

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mke wangu siku moja aliniambia kuna biashara nataka tufanye mimi na wewe kwa kushirikiana, nikakataa kwa kuwa biashara yenyewe ilipaswa iajiri watu wengine kama thelathini hivi.

Nikamwambia mimi nitakuunga mkono lakini hiyo iwe yako wewe mwenyewe na mimi nisihusike nayo.

Unajua why? Huwa naogopa mapenzi kuchanganya na biashara au kazi na nishaona madhara yake sehemu kadhaa.

Good luck mke wangu alinielewa na nawaomba ndugu zangu msichanganye kazi na mapenzi hata siku moja na wakati mwingine kuna nafuu kwa Mkeo kuliko Hawara au kimada.

WALLAH MTAHARIBIKIWA, don’t do that.
 
Mke wangu siku moja aliniambia kuna biashara nataka tufanye mimi na wewe kwa kushirikiana, nikakataa kwa kuwa biashara yenyewe ilipaswa iajiri watu wengine kama thelathini hivi.
Watanzania nguvu hii hii ya kupenda Kujadili mambo ya Kipuuzi, Kiumbea na Kibinafsi tungekuwa tunaihamishia katika Kujadili Vitu vya maana nina uhakika Kimaendeleo tungekuwa tumeshapiga hatua kama si sana basi zaidi.
 
Watanzania nguvu hii hii ya kupenda Kujadili mambo ya Kipuuzi, Kiumbea na Kibinafsi tungekuwa tunaihamishia katika Kujadili Vitu vya maana nina uhakika Kimaendeleo tungekuwa tumeshapiga hatua kama si sana basi zaidi.
Kama kwako wasema umbea siye kwetu twapenda mambo haya ambayo tunayaishi
 
Manara ni mswahili alafu asili ya Kigoma. Watu wakigoma kama umegombana naye hata kuacha hata kidogo lazima kuwa mdomoni mwake kwa njia yoyote ya maneno na vijembe.

Nawashauri wenzangu, gombana na makabila yote sio ya Kigoma. Mfano we muangalie Alikiba, Diamond, Baba Levo, Zitto na n.k
 
Kwahyo mwamedi anamkula babla au! Babla analipwa million 360 kwa mwaka sawa na millioni 30 kwa mwezi manara alikuwa analipwa laki 7
Halafu hapohapo Manara amekataa kuajiriwa na mke wake, laiti angekubali mke wake angemlipa mshahara wa milioni.
 
Mshenzi huyo Hana jipya, kiukweli Mimi huwa simwamini masikini mwenzangu anayepiga domo badala ya kutoa mafungu ya kufanikisha adhma ya taasisi.

Manara ana bahati Sana ya kupata nafasi ya kubishana na mtu mwenye pesa nyingi na anachangia 3% - 4% ya GDP ya Tanzania.

Naona ni washenzi fulani wanampa moyo manara wa kuendelea kumtupia vijembe Mo Dewji. Mo anachotakiwa Ni kunyamaza tu maana anayoyafanya yanaonekana wazi kutupa furaha mashabiki wa Simba SC.

Simba SC bila pesa za Mo ingekuwa ya hovyo tu hata manara angeongea vipi.

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Mke wangu siku moja aliniambia kuna biashara nataka tufanye mimi na wewe kwa kushirikiana, nikakataa kwa kuwa biashara yenyewe ilipaswa iajiri watu wengine kama thelathini hivi.

Nikamwambia mimi ntakuunga mkono lakini hiyo iwe yako wewe mwenyewe na mimi nisihusike nayo.

Unajua why? Huwa naogopa mapenzi kuchanganya na biashara au kazi na nishaona madhara yake sehemu kadhaa.

Good luck mke wangu alinielewa na nawaomba ndugu zangu msichanganye kazi na mapenzi hata siku moja na wakati mwingine kuna nafuu kwa Mkeo kuliko Hawara au kimada.

WALLAH MTAHARIBIKIWA, don’t do that.
Atakayemwajiri huyu jamaa kazi anayo
 
Watanzania nguvu hii hii ya kupenda Kujadili mambo ya Kipuuzi, Kiumbea na Kibinafsi tungekuwa tunaihamishia katika Kujadili Vitu vya maana nina uhakika Kimaendeleo tungekuwa tumeshapiga hatua kama si sana basi zaidi.
Tuanzie na maendeleo yako, mtu ambaye unapenda kujadili mambo ya msingi tu
 
Back
Top Bottom