Manara: Kama Simba SC akimfunga Dodoma basi niitwe Ashura cheupe

Manara: Kama Simba SC akimfunga Dodoma basi niitwe Ashura cheupe

Mashabiki wa simba walionwengi himu jukwaani, muda wote wanamuwaza Haji Manara tu! Na hapa ndipo sasa ile kauli ya Rage inapokuwa na mashiko.

Maana kila atakachoposti huko instagram kwake, basi lazima waje waanzishe uzi humu! Aongee ujinga wowote ule, kwao ni story ya kuja kusimulia humu jukwaani!

Kwa kweli inastaajabisha sana.
Washabiki wa Yanga walio wengu humu jukwaani muda wote wanamtetea Manara kwa kila upuuzi anayofanya hata kama unawadhalilisha wenyewe na club yao,. Na hapa ndiyo ile kauli ya Luc Eymael kuwa washabiki na wanachama wa Yanga wote ni nyani wanachojua ni kuzomeazomea,ni mbwakoko wanachoweza ni kubwekabweka na ni uneducated inathibitika.
 
Mashabiki wa simba walionwengi himu jukwaani, muda wote wanamuwaza Haji Manara tu! Na hapa ndipo sasa ile kauli ya Rage inapokuwa na mashiko.

Maana kila atakachoposti huko instagram kwake, basi lazima waje waanzishe uzi humu! Aongee ujinga wowote ule, kwao ni story ya kuja kusimulia humu jukwaani!

Kwa kweli inastaajabisha sana.
Unamkumbuka kocha Emil?. Kuwaita nyan hakukosea. Mi jibwa ya kubwekabweka
 
Kumbe jina la Ashura Cheupe lilianzia huku..Basi na mm kuanzia leo nalibariki jina hilo kinywani mwangu. Ashuraaa
 
Back
Top Bottom