Tetesi: Manara Msemaji mpya wa PSV Eindhoven

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
1. Mheshimiwa Haji Manara amepata shavu la usemaji wa klabu ya PSV Eindhoven.

2. Mipango ya vibali vya kazi na viza vikikamilika yeye pamoja na familia watatimkia huko ng'ambo tayari kwa kazi. ya usemaji.

Hongera sana Haji, Hongera Zailisa
 
1. Mheshimiwa Haji Manara amepata shavu la usemaji wa klabu ya PSV Eindhoven.

2. Mipango ya vibali vya kazi na viza vikikamilika yeye pamoja na familia watatimkia huko ng'ambo tayari kwa kazi. ya usemaji.

Hongera sana Haji, Hongera Zailisa
hiyo klabu inachezea cha ndimu
 
We umeshawai kusikia vilabu vya soccer vinavyojielewa vinawasemaji kama huku kwetu?
 
Ameweka kesi na maimartha juu ya kumchafua..huu sio muendelezo kweli wa vita yenu?
 
Labda akawe mascot wa timu.

Wamvalishe li nyago awe anaimba kaswida yake mpya aliyoitoa kuhamasisha timu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…