Manara na Ruby Fresh ndoa chaliiii

Kaole Sanaa Group, Tutaona Na Kusikia Mengi Sana
 
Ndio maana wanamuita mchicha mwiba, ukiona mwanaume hatulii na mke mmoja ujue kuna kitu kinamuwasha anatafuta wa kumkuna.
Huyu kwanza ana gubu Lile la kizaramo na kimanyema hasaaa,halafu kingine kwao ye ndo Masha Allah na anawapenda nduguze mnoo baasi Ndugu wote wasemaji Wa ndoa Yao,plus ulevi na akilewa hachagui neno la kusema na kudhalilish Wanawake pia na umalaya anao pia
Hakuna mwanamke atadumu nae ng'ooo
 
Kuna waislam kindaki ndaki hawapendi hii kitu ya kuolewa mitala..
Fanya utafiti kabla hujapinga.
Anaekataa ukewenza kama ni muislam ajitathmini Sanaa maana aliyeweka mitala Ni Mola wake kupinga alichoweka Mungu ni kufuru kubwaa
 
Hawagawani mali?
 
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili ndogo huongelea watu.
 
Msemaji anaongea sana buana, ha kuishi na mke sio shughuli ndogo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Akae mwenyewe ndoa haimtaki
Hana nyotaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiona mpk wadada Wamekimbia penye unafuu wa maishaa Juan Kuna shida kuubwa hapo
 
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili ndogo huongelea watu.
Maisha ni haya haya mama
Hatuna maisha mengine!!
Kuna jukwaa la habari,Great thinkers n.k waweza enda hukoo pia ukajifunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ