Manara na Ruby Fresh ndoa chaliiii

Manara na Ruby Fresh ndoa chaliiii

Kaole Sanaa Group, Tutaona Na Kusikia Mengi Sana
 
Ndio maana wanamuita mchicha mwiba, ukiona mwanaume hatulii na mke mmoja ujue kuna kitu kinamuwasha anatafuta wa kumkuna.
Huyu kwanza ana gubu Lile la kizaramo na kimanyema hasaaa,halafu kingine kwao ye ndo Masha Allah na anawapenda nduguze mnoo baasi Ndugu wote wasemaji Wa ndoa Yao,plus ulevi na akilewa hachagui neno la kusema na kudhalilish Wanawake pia na umalaya anao pia
Hakuna mwanamke atadumu nae ng'ooo
 
Kuna waislam kindaki ndaki hawapendi hii kitu ya kuolewa mitala..
Fanya utafiti kabla hujapinga.
Anaekataa ukewenza kama ni muislam ajitathmini Sanaa maana aliyeweka mitala Ni Mola wake kupinga alichoweka Mungu ni kufuru kubwaa
 
Kaahh..hata kama ni talaka ruhusa kidini ila Haji ni too much ...mweeee...
Story za mitandaoni Haji na kashampiga talaka Tatu bi Ruby aka mama Ghalib talaka taaatu shwaaa....bila marudio ka eda itaisha...!!

Yaani Haji Kwa Sasa apewe tuzo kama kina dida za talaka,haiwezekani wao Kila Mwaka Wanaoa na kuachika mwee...hata kama mapungufu ya wenza wao Kwa hili hapana
Haji ana kitu atafika nacho mbaali mnooo..
Mwaka juzi alioa shemeji WA Aweso,akamuacha,Mwaka Jana kaoa ruby ,akaoa Tena rushayna (akachambwa dada WA watu akaonekana alifata umaarufu Kwa haji)na Rubina Ndo alikua anamtetea mmewe balaaa na yeye amejifungua TU Ndoa imemshinda kaachika,kikanuni za kibinadamu ni ngumu Sana kukuta mwanaume ameoa na kuacha mara nyingi na ikiwa hvyo baasi me ana shida
Ruby anauza zake shisha tabataaaa.....

Ila Kwa Wadada Wa bongo utashangaa mwingine next week nae aenda olewa na haji huyo huyo hvyooo!!!hajiulize wenziwe watano wameshindwa ye atajifanya konki ataolewa...

Ila wanaume Wa Dar mna kitu mtafuka mbaali!
Hawagawani mali?
 
Kaahh..hata kama ni talaka ruhusa kidini ila Haji ni too much ...mweeee...
Story za mitandaoni Haji na kashampiga talaka Tatu bi Ruby aka mama Ghalib talaka taaatu shwaaa....bila marudio ka eda itaisha...!!

Yaani Haji Kwa Sasa apewe tuzo kama kina dida za talaka,haiwezekani wao Kila Mwaka Wanaoa na kuachika mwee...hata kama mapungufu ya wenza wao Kwa hili hapana
Haji ana kitu atafika nacho mbaali mnooo..
Mwaka juzi alioa shemeji WA Aweso,akamuacha,Mwaka Jana kaoa ruby ,akaoa Tena rushayna (akachambwa dada WA watu akaonekana alifata umaarufu Kwa haji)na Rubina Ndo alikua anamtetea mmewe balaaa na yeye amejifungua TU Ndoa imemshinda kaachika,kikanuni za kibinadamu ni ngumu Sana kukuta mwanaume ameoa na kuacha mara nyingi na ikiwa hvyo baasi me ana shida
Ruby anauza zake shisha tabataaaa.....

Ila Kwa Wadada Wa bongo utashangaa mwingine next week nae aenda olewa na haji huyo huyo hvyooo!!!hajiulize wenziwe watano wameshindwa ye atajifanya konki ataolewa...

Ila wanaume Wa Dar mna kitu mtafuka mbaali!
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili ndogo huongelea watu.
 
Msemaji anaongea sana buana, ha kuishi na mke sio shughuli ndogo😂😂😂
 
Akae mwenyewe ndoa haimtaki
Hana nyotaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiona mpk wadada Wamekimbia penye unafuu wa maishaa Juan Kuna shida kuubwa hapo
 
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili ndogo huongelea watu.
Maisha ni haya haya mama
Hatuna maisha mengine!!
Kuna jukwaa la habari,Great thinkers n.k waweza enda hukoo pia ukajifunze
 
Back
Top Bottom