Namjua mmoja ni zerezeru flani hivi anamiguu kama mwiko😂Hao watu ndio kina nani huko Daslam?
Yaani nilidhani ruby atadumu ila zilivoanza tetesi TU Baasi nkajua hapa hakuna Ndoa Tena
Mm mkristo ukweli jamaa ameukosea heshima uislamu .Ndoa zisizo na maigizo ni ya mke mmoja na michepuko kila mji sio? Eti mnaogopa msizikwe na kanisa. Kina dada gani hao Waislam wasiotaka kuolewa na Waislam wenzao? Na hao msomali mmoja ni kina nani mpaka kauli yao iwe na uzito wowote?
Anatakaiwa arogwe kila akimuona mkewe maneno hayatoki maana mshenzi yule.Msemaji anaongea sana buana, ha kuishi na mke sio shughuli ndogo😂😂😂
Si ndiyo mnawaita sijui role model ,watu wenye ushawishi+followers +mabalozi wenuManara ndo nani hapa Tanganyika?
Siyo zile ndoa utafikiri mikataba ya DP World