Manara na Ruby Fresh ndoa chaliiii

Manara na Ruby Fresh ndoa chaliiii

Ndoa zisizo na maigizo ni ya mke mmoja na michepuko kila mji sio? Eti mnaogopa msizikwe na kanisa. Kina dada gani hao Waislam wasiotaka kuolewa na Waislam wenzao? Na hao msomali mmoja ni kina nani mpaka kauli yao iwe na uzito wowote?
Mm mkristo ukweli jamaa ameukosea heshima uislamu .
 
Mpaka sasa jamani naona ndo kipele kila siku kuachana na wanawake ,yule jama ni kiburi.
 
labda anaona sifa mnazompa wake zake wazuri, anaona anaweza kuopoa saa yoyote, kwake ndoa ni chasing game na wanawake...he enjoys hunting...
 
Haji yeye anaenda huko IG anacheki picha tuuu anatuma application zen ikiwa acceptable anatangaza ndoa.
 
Back
Top Bottom