mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Kwahiyo huyo msomali nae ni Muislam kindaki ndaki? Unaelewa maana ya Muislam kindaki ndaki? Au unaongea tu vitu usivyovielewa. Unamuita muislam "kindaki ndaki" halafu wakati huo huo hapendi ndoa ya mitaala. Huoni kuwa unaongea visivyoeleweka. Halafu mitaala ipo katika karibu jamii zote za binadamu. Uislam ndio umekuja kulimit idadi. Kwanini mnaulaumu Uislam kwa kuwepo ndoa ya mitaala?
kwahiyo muislam aliyeiva kidini anapenda mitala[emoji28][emoji28][emoji28].
endelea kukua ndugu yangu bado hujui mengi.
hajj ni kielelezo cha namna ndoa ilivyo takatifu,haina urahisi wa aina yoyote kama watu wanavyojaribu kuuchonga.
akikushinda mke mmoja hata 9 huwawezi na hawatakueletea amani unayoitafuta.