Manara: Simba watafagia uwanja wa mkapa Kwa ajili ya Yanga tarehe 4

Manara: Simba watafagia uwanja wa mkapa Kwa ajili ya Yanga tarehe 4

atakuwepo kama nani?? huyu mbwa mbona kama anataka kujiamulia mambo ya kilabu yeye mwenyewe??? yanga tusikubali huyu mbwa ametumwa kuja kutuvuruga tupoteane
[emoji23][emoji23]
 
Mahabiki wa Gongowazi hilo ndio waliloliokota katika yote.

Hiyo inamaanisha kuwa ili uweze kuteka akili za shabiki wa Gongowazi first off first we iponde Simba.

Press ya Manara imekuja kwa lengo la kumpora Mic 🎤 Ally Kamwe na kuna kitu kingine mtakuja kukisikia mbeleni huko.

Ikitokea kwenye sherehe yenu Gongowazi mmejaa kwa wingi kwa Mkapa hata kama sababu imetokana na sajili mpya kama ya Chama ila credit atajipa Manara kuwa yeye ndio kasababisha kutokana na kukubalika kwake.
 
Mahabiki wa Gongowazi hilo ndio waliloliokota katika yote.

Hiyo inamaanisha kuwa ili uweze kuteka akili za shabiki wa Gongowazi first off first we iponde Simba.

Press ya Manara imekuja kwa lengo la kumpora Mic 🎤 Ally Kamwe na kuna kitu kingine mtakuja kukisikia mbeleni huko.

Ikitokea kwenye sherehe yenu Gongowazi mmejaa kwa wingi kwa Mkapa hata kama sababu imetokana na sajili mpya kama ya Chama ila credit atajipa Manara kuwa yeye ndio kasababisha kutokana na kukubalika kwake.
Haji na Kamwe haziivi Kuna fukutu limejificha chichini soon litalipuka , dalili zake zimeanza kuonekana toka Kitambo.
 
Huyu master anajua kukera sana, nadhani kipara anamchungulia kiaina sahii 😃!.
 
Haji na Kamwe haziivi Kuna fukutu limejificha chichini soon litalipuka , dalili zake zimeanza kuonekana toka Kitambo.
Wale hawawezi kuhudumu ofisi moja abadani.

Angalia tu ile siku tuwafunge 2-0, Manara alikuja kudhihaki promosheni ya Ally Kamwe kana kwamba ndio sababu zilizopelekea Yanga kufungwa.

Alisema wapunguze Polimilai kwasababu hawakupaswa kumdharau mpinzani.

Kitu ambacho amekuwa akikifanya yeye miaka yote.
 
Wale hawawezi kuhudumu ofisi moja abadani.

Angalia tu ile siku tuwafunge 2-0, Manara alikuja kudhihaki promosheni ya Ally Kamwe kana kwamba ndio sababu zilizopelekea Yanga kufungwa.

Alisema wapunguze Polimilai kwasababu hawakupaswa kumdharau mpinzani.

Kitu ambacho amekuwa akikifanya yeye miaka yote.
Ni mbwe mbwe tu mkuu
 
Back
Top Bottom