Hata alipokosana na Simba na kuondoka sikushangaa hata kidogo. Nikajisemea tu kuwa hata huko Yanga anapokwenda hataweza kudumu.
Manara anapenda sifa na umaarufu. Lakini kibaya zaidi ni Mnafiki sana. Hata Saikolojia inatuelekeza kuwa mtu mwenye maneno mengi mdomoni mara nyingi NI MNAFIKI.
Naitahadharisha Simba msije mkaingia kwenye mtego wa Manara. Ninaamini Manara anataka kurudi Simba na ili afanikiwe ni lazima afanye kama alivyofanya wakati anakwenda Yanga, YAANI KUIPONDA CLUB ULIYOPO
Manara anapenda sifa na umaarufu. Lakini kibaya zaidi ni Mnafiki sana. Hata Saikolojia inatuelekeza kuwa mtu mwenye maneno mengi mdomoni mara nyingi NI MNAFIKI.
Naitahadharisha Simba msije mkaingia kwenye mtego wa Manara. Ninaamini Manara anataka kurudi Simba na ili afanikiwe ni lazima afanye kama alivyofanya wakati anakwenda Yanga, YAANI KUIPONDA CLUB ULIYOPO