Manara tumembeba habebeki. Ndo maana Simba walimfukuza. Huyu jamaa ni kirusi

Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Imagine hukubaliani na Mapaka yaliyopora chaguzi yaliyopo madarakani halafu mtu anaibuka na utopolo kama huu🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Hao wanataniana na ni marafiki toka haji yuko makolo,halafu ulipuyanga sasa yani gharib kwao kiungani manara twiga hao wanajuana toka shule ya kisarawe gerezani na ben mkapa mida ya jioni zilikua maskani zao then steve toka mbwinde huko ndio amuombee haji kwa camil while wote wa k'koo,jamaa punguza fix basi muda mwingine!
 
Habari za tajiri muulize maskini,hakika.
 
Shida kubwa ni kuendekeza watu kwa kisingizio cha wanajua kuongea kama samaki chuchungi.

Angalia tofauti ya msemaji wa sasa simba alivo
Ahmed Ally huwaa anaongea nn cha maana zaidi ya pumba tu za kuisengenya Yanga hakuna jipya tena namuona ni km anatafuta umaarufu wa Manara wa kuongea ongea pumba tu.
 
Kumbe jamaa siyo balozi wa Azam?
Mbona anatangaza bidhaa zake?

 
Haeleweki, mambo yake muachieni mwenyewe...
 
Huwezi kumbeba kenge mgongoni halafu utegemee utafika salama bila kukukwaruza na mikucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…