Manara tumembeba habebeki. Ndo maana Simba walimfukuza. Huyu jamaa ni kirusi

Manara tumembeba habebeki. Ndo maana Simba walimfukuza. Huyu jamaa ni kirusi

Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Hivi hii kauli mbiu ya daima mbele mwiko nyuma ilianzia lini?

Ninachojuwa Mimi utopolo ni kandambili mbovu.

Hyo ndy nembo ya utopolo tangu enzi na enzi (1935).

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Nembo ya Chelsea ni kutoka lini? Ya Barcelona?Madrid? Liverpool he na.mancity Nembo walibadili lini? Hivi makolo ndio mnaakili mbovu hivi?
 
Imagine hukubaliani na Mapaka yaliyopora chaguzi yaliyopo madarakani halafu mtu anaibuka na utopolo kama huu🐒🐒🐒
 
Manara ana Nyota ya Ufitini na Uchonganishi. Wakati anakuja kwa Steve kuomba asaidiwe usemaji Yanga, mimi nlikuwa mmoja ya watu ambao tulikuwa tunaona Manara kafukuzwa kwa kuonewa Simba.

Lakini kwa kipindi hiki ambacho tumekaa naye huyu jamaa ni kunguru. Hafugiki. Kashawachonganisha watu wengi sana kwa Ghalib. Watu wananyamaza tu sababu yeye anaonekana kama ni mwandani wa Ghalib wa muda mrefu sana.

Uongozi kwa kiasi fulani ni kama unamuogopa sababu ya ukaribu wake na Ghalib.... Ila watu wanamwangalia tu jinsi anavyojishengendua kikahaba. Amefikia hatua anawaponda hata waliomsaidia.

Mimi huwa sikubaliani na Steve maana naye ni mlaji wa mdomo ila katika hili alihusika sana kumsaidia Manara ambaye tayari alikuwa ameshachanganyikiwa hasa tena baada ya Azam kumkataa. Maana yeye anasema ilikuwa Azam wamchukue lakini dakika za mwishoni wakamkataa.

Tumemsaidia sasa amekuwa chawa mpaka anapitiliza. Sisi tunamwangalia tu

View attachment 2182738
Hao wanataniana na ni marafiki toka haji yuko makolo,halafu ulipuyanga sasa yani gharib kwao kiungani manara twiga hao wanajuana toka shule ya kisarawe gerezani na ben mkapa mida ya jioni zilikua maskani zao then steve toka mbwinde huko ndio amuombee haji kwa camil while wote wa k'koo,jamaa punguza fix basi muda mwingine!
 
Hao wanataniana na ni marafiki toka haji yuko makolo,halafu ulipuyanga sasa yani gharib kwao kiungani manara twiga hao wanajua toka shule ya kisarawe gerezani na ben mkapa mida ya jioni zilikua maskani zao then steve toka mbwinde huko ndio amuombee haji kwa camil while wote wa k'koo,jamaa punguza fix basi muda mwingine!
Habari za tajiri muulize maskini,hakika.
 
Shida kubwa ni kuendekeza watu kwa kisingizio cha wanajua kuongea kama samaki chuchungi.

Angalia tofauti ya msemaji wa sasa simba alivo
Ahmed Ally huwaa anaongea nn cha maana zaidi ya pumba tu za kuisengenya Yanga hakuna jipya tena namuona ni km anatafuta umaarufu wa Manara wa kuongea ongea pumba tu.
 
Azam walimtosa hadi ubalozi, Bakhressa hapendi mambo ya kijinga alivyoanza kumtukana Mo kwa ku compare na Bkhressa mzee akaona utoto huu.

Hata Harmonise alivyotoa kale kanyimbo alihisi mzee angebabaika ndo kwanza siku hiyo kafika kwa mzee bila appointment kule masaki kaishia kufukuzwa getini kama mbwa.
Kumbe jamaa siyo balozi wa Azam?
Mbona anatangaza bidhaa zake?

IMG_20220411_191916.jpg
 
Huwezi kumbeba kenge mgongoni halafu utegemee utafika salama bila kukukwaruza na mikucha
 
Back
Top Bottom